Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Kimulimuli
Uchebee 😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁Ile nyota mtu anaonanga baada ya kupigwa kofi [emoji112] inaitwaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmekumbuka mbali mnoooh lolKimulimuli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmekumbuka mbali mnoooh lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila shaka n nyanda za juu kusini kwa bondeni kidogo, huko n kwetu tunaita vimuli muli vinaruka ruka hewani.Kule kwetu msimu wa kiangazi kunakuwa na mbalamwezi Kuna wadudu wanawakawaka tunawaita vimulimuli
Nimetumia longitude na latitude kibao kuangalia kusini bondeni hopelly Ni hapo hapo vimuli vimuli oooyee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila shaka n nyanda za juu kusini kwa bondeni kidogo, huko n kwetu tunaita vimuli muli vinaruka ruka hewani.
Haswaaaaaah ni kwetu hukooooh kabisaaaa, kule kweny (Water water war) au nmekosea code?Nimetumia longitude na latitude kibao kuangalia kusini bondeni hopelly Ni hapo hapo vimuli vimuli oooyee.
Alafu tulivyokuwa wadogo tulikuwa tunawakamata tunawaweka kwenye shimo ndiyo umeme huo yakhe.