Hivi karibuni niliweka tangazo la kutafuta mchumba, hatimaye nimuoe huko mbeleni Mungu akipenda. Nikaeleza elimu yangu la saba na kazi nafanya za nguvu kwa nguvu yaani kumwaga zege na vibarua vya ujenzi na kubeba tofaari,
cha ajab ni watu wawili tu ndio walikuja PM. Bahat mbaya wako mbali na dalisalamu.
Niombe kuuliza, humu wote wakuu mmesoma na mna elimu kubwa? Au sisi la saba hatuna thamani humu JamiiForums?
Nimeskitika sana kwa kweri 🤕
cha ajab ni watu wawili tu ndio walikuja PM. Bahat mbaya wako mbali na dalisalamu.
Niombe kuuliza, humu wote wakuu mmesoma na mna elimu kubwa? Au sisi la saba hatuna thamani humu JamiiForums?
Nimeskitika sana kwa kweri 🤕