Watu wa humu ni wabaguzi kwa sisi wa la saba

Watu wa humu ni wabaguzi kwa sisi wa la saba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi karibuni niliweka tangazo la kutafuta mchumba, hatimaye nimuoe huko mbeleni Mungu akipenda. Nikaeleza elimu yangu la saba na kazi nafanya za nguvu kwa nguvu yaani kumwaga zege na vibarua vya ujenzi na kubeba tofaari,
cha ajab ni watu wawili tu ndio walikuja PM. Bahat mbaya wako mbali na dalisalamu.

Niombe kuuliza, humu wote wakuu mmesoma na mna elimu kubwa? Au sisi la saba hatuna thamani humu JamiiForums?

Nimeskitika sana kwa kweri 🤕
nilidhani umetukanwa kumbe wanaotaka wachumba wako wawili tu na umewapata kisha unalalamika. Ulitaka hata wasiotaka wachumba na wanaume wakufuate pm?
 
Sasa ulitaka waje wangapi pm au we unatama wanawake wangapi mwenzetu?
We mwenyewe mbaguzi unawabagua wadada wa watu kwa sababu wapo nje ya dar
 
Hivi karibuni niliweka tangazo la kutafuta mchumba, hatimaye nimuoe huko mbeleni Mungu akipenda. Nikaeleza elimu yangu la saba na kazi nafanya za nguvu kwa nguvu yaani kumwaga zege na vibarua vya ujenzi na kubeba tofaari,
cha ajab ni watu wawili tu ndio walikuja PM. Bahat mbaya wako mbali na dalisalamu.

Niombe kuuliza, humu wote wakuu mmesoma na mna elimu kubwa? Au sisi la saba hatuna thamani humu JamiiForums?

Nimeskitika sana kwa kweri 🤕
Weka la kutafuta single mother sekunde tu PM imejaa
 
Back
Top Bottom