Watu wa humu ni wabaguzi kwa sisi wa la saba

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nilidhani umetukanwa kumbe wanaotaka wachumba wako wawili tu na umewapata kisha unalalamika. Ulitaka hata wasiotaka wachumba na wanaume wakufuate pm?
 
Sasa ulitaka waje wangapi pm au we unatama wanawake wangapi mwenzetu?
We mwenyewe mbaguzi unawabagua wadada wa watu kwa sababu wapo nje ya dar
 
Weka la kutafuta single mother sekunde tu PM imejaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…