Watu wa itifaki hapo Ikulu naombeni mpeni Rais wetu mapumziko sasa

Watu wa itifaki hapo Ikulu naombeni mpeni Rais wetu mapumziko sasa

Rais wetu tunampenda sana, na kwa muda mfupi amechapa kazi sana tena iliyotukuka. Ila kama ilivyoada kwa binadamu wote, ukifanya sana kazi kuna wakati unachoka na mwili unahitaji mapumziko ya kutosha.

Kuna video inasambaa kuke twitter imepostiwa kwa Maria Sarungi Ikimuonesha Rais Samia almanusura adondoke akiwa pale Lugalo tena katika vazi la kombati, inaonekana wazi kabisa mama amechoka kutokana na majukumu kuongozana.

Hivyo kama itawapendeza nawaomba mumpe likizo walau ya wiki mbili avute nguvu ili aendelee kututumikia sisi Watanzania kwa nguvu zote!
Watu hamna ya kufanya, wewe inakuhusu nini? Wacha azurule mitaani Kama bado ana nguvu...
 
Watu hamna ya kufanya, wewe inakuhusu nini? Wacha azurule mitaani Kama bado ana nguvu...
Na ata kama angedondoka tatizo nn? Si anainuka tena tu? Tena ndo vizuri amiri Jesh ni Zaid ya komandoo, angedondoka tu nakuinuka kikomandoo.
 
Wazanzibar wanaongozwa na Watanganyika. Mama anapangiwa trip nyingi ndani na nje ili wamchoshe na asigombee uchaguzi ujao au kama atagombea basi pawe na pakumsemea kuwa hana Afya ya kutosha kwenye kunyang'anyilo. Ni vile tu mama ametangaza nia lakini chama huku bara hakimtaki. CCM inawenyewe bhana.
 
Back
Top Bottom