agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Kama umeandika utumbo usitegemee like yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayLike zinazidi tano ila zinazoonekana ni tano
then unazipeleka wapiwatumiaji wa jamiiforums tujifunze kuwapa watu moyo.
ktk afrika mashariki jamiiforums ni jukwaa ambalo naweza kusema ni moto wa kuotea Mbali.
na hili jukwaa limefikia hapo lilipo kwa kwasababu ya watu kujitolea.
mm ni mfuatiliaji mzuri sana wa mada za jf wakati mwingine unakuta mada imesomwa na watu 3000 lakini unakuta mtu aliyeleta mada amepata like 1 au hajapata kabisa.
na ninauhakika waliweka kitufe cha like jf hawakuwa wapumbavu lazima kunamaana.
na ninaomba hiyo maana tuitumie pale inapo stahili.
Nishakupa [emoji1546]
Nami pia
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]Nishakupa [emoji1546]
[emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] Zangu hiziNami pia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huwa nakukubali sana ujue?Sasa ukiona likes haziji, maana yake watu hawajaguswa na mchango wako. Mbona mimi zinakuja? Nisichopata mimi ni buku 7 tu, sababu mimi sio mnafiki
Toka niingie Jf sijawahi ona like 11Sijui kwanini likes mara nyingi hazizidi tano
Pamoja na replies zaidi ya 37 na viewers kadhaa... Still una like 5 tuu. Hii ndo Jf wanapeana wenyewe kwa wenyewe tuu. Ngoja mshanaJr apost ka photo utaona like 100[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Watumiaji wa JamiiForums tujifunze kuwapa watu moyo.
Katika Afrika Mashariki JamiiForums ni jukwaa ambalo naweza kusema ni moto wa kuotea Mbali na hili jukwaa limefikia hapo lilipo kwa sababu ya watu kujitolea.
Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mada za JF wakati mwingine unakuta mada imesomwa na watu 3000 lakini unakuta mtu aliyeleta mada amepata like 1 au hajapata kabisa.
Na nina uhakika waliweka kitufe cha like JF hawakuwa wapumbavu lazima kuna maana. Na ninaomba hiyo maana tuitumie pale inapo stahili.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Pamoja na replies zaidi ya 37 na viewers kadhaa... Still una like 5 tuu. Hii ndo Jf wanapeana wenyewe kwa wenyewe tuu. Ngoja mshanaJr apost ka photo utaona like 100[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]