Watu wa JamiiForums ni wagumu sana kutoa like

Watu wa JamiiForums ni wagumu sana kutoa like

Watumiaji wa JamiiForums tujifunze kuwapa watu moyo.

Katika Afrika Mashariki JamiiForums ni jukwaa ambalo naweza kusema ni moto wa kuotea Mbali na hili jukwaa limefikia hapo lilipo kwa sababu ya watu kujitolea.

Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mada za JF wakati mwingine unakuta mada imesomwa na watu 3000 lakini unakuta mtu aliyeleta mada amepata like 1 au hajapata kabisa.

Na nina uhakika waliweka kitufe cha like JF hawakuwa wapumbavu lazima kuna maana. Na ninaomba hiyo maana tuitumie pale inapo stahili.
Mkuu, ni vyema ukajifunza juu ya consumption habits za watu... Wachangiaji wengi wanapenda ile 'michambo' au comments anazopewa mtoa mada. Nilishawahi kuleta lalamiko kama lako siku za nyuma coz unakuta mleta mada ana likes mbili wakati aliyechangia kwenye mada yake ana likes kumi...
 
Huku kuna like za aina nyingi.
Za point nzito na zenye maana
Za kuchekesha
Za kujuana
Za kutafuta vipoozeo
Za kurudisha fadhila
N.k, we ukichunguza kwa makini utagundua hilo. Ukipata like moja we yakutosha kwani wapeleka wapi nazo hizo!!
Hahah za vipoozeo hizo lazima upate like tu
 
Watumiaji wa JamiiForums tujifunze kuwapa watu moyo.

Katika Afrika Mashariki JamiiForums ni jukwaa ambalo naweza kusema ni moto wa kuotea Mbali na hili jukwaa limefikia hapo lilipo kwa sababu ya watu kujitolea.

Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mada za JF wakati mwingine unakuta mada imesomwa na watu 3000 lakini unakuta mtu aliyeleta mada amepata like 1 au hajapata kabisa.

Na nina uhakika waliweka kitufe cha like JF hawakuwa wapumbavu lazima kuna maana. Na ninaomba hiyo maana tuitumie pale inapo stahili.
Mimi zangu mods wanazichukua zipo zaidi ya alfu lakini kila siku ni 600 ingekuwa chakula kingeeleweka lakini like wachukue tu
 
Mpaka tumeanza kulilia like ni Hali ngumu au ni kutafuta umarufu kuwa kila ninacho post kinaeleweka
 
Kwani usipopata hizo likes nini kinaharibika?
 
Watumiaji wa JamiiForums tujifunze kuwapa watu moyo.

Katika Afrika Mashariki JamiiForums ni jukwaa ambalo naweza kusema ni moto wa kuotea Mbali na hili jukwaa limefikia hapo lilipo kwa sababu ya watu kujitolea.

Mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa mada za JF wakati mwingine unakuta mada imesomwa na watu 3000 lakini unakuta mtu aliyeleta mada amepata like 1 au hajapata kabisa.

Na nina uhakika waliweka kitufe cha like JF hawakuwa wapumbavu lazima kuna maana. Na ninaomba hiyo maana tuitumie pale inapo stahili.
C kwel mkuu watu huwa wana Like sana tu kama mada ni nzuri, sema nilichogundua kwamba system ya jamii forum like huwa hazizidi tano, namaanisha hata wa like watu 1000 like zinazoonekana ni tano tuu, chunguza hiyo kitu mkuu
 
Back
Top Bottom