Weekend iliyopita nilikunywa pombe nyingi sana nahisi za miezi miwili. Bora hata ingekua bia sasa ni mapombe makali tu. Sema naweza fungulia kifungo hata sasa hivi ila kwa mchaga tu ndo ntakunywa naeKisa cha kupumzika ni nini eti
Weekend iliyopita nilikunywa pombe nyingi sana nahisi za miezi miwili. Bora hata ingekua bia sasa ni mapombe makali tu. Sema naweza fungulia kifungo hata sasa hivi ila kwa mchaga tu ndo ntakunywa nae
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenzio nimepunguza kilo soon nakuwa na 75Weekend iliyopita nilikunywa pombe nyingi sana nahisi za miezi miwili. Bora hata ingekua bia sasa ni mapombe makali tu. Sema naweza fungulia kifungo hata sasa hivi ila kwa mchaga tu ndo ntakunywa nae
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]dada mkubwa naunga mguu hoja
Hongera yako. Mi kuna suruali nimevaa asubuhi nashangaa imepita bila kuivuta. Nahisi napungua sio kwa kufunga huku na kuacha bia. Sema kilo 75 sizitaki. Mwisho 78.
Mi nataka hata 70 mwenzio ,, usiku kula chakula chepesi matunda au mboga za majaniHongera yako. Mi kuna suruali nimevaa asubuhi nashangaa imepita bila kuivuta. Nahisi napungua sio kwa kufunga huku na kuacha bia. Sema kilo 75 sizitaki. Mwisho 78.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ewaaa kumbe mzigua upo vizuri sekta ya glass[emoji1]😀Hahahahahaa.. Jebel si jamii ya kina Konyagi eeh? Japo wanajitia ina harufu ya nazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama mganga leta dawa tuwarogeShwenziiiiii zaoooh mxeeeew[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikunywaga hiyo jebel mbona nikageuka msiba nilililiaEwaaa kumbe mzigua upo vizuri sekta ya glass[emoji1]😀
Ukiwa mnyonge utakuwa huna akiliUsiombee Binadamu akujue tena akujue na mapungufu yako!
Utakuwa Mnyonge Daima!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ndio shida ya kujuana hio.
Usiombee Binadamu akujue tena akujue na mapungufu yako!
Utakuwa Mnyonge Daima!
Sent from my iPhone using JamiiForums