RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kritika=Critic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kritika=Critic
Tatizo wanapenda kujuana kwa nia ovu ndio maana kila siku wanalalamika.Usiombee Binadamu akujue tena akujue na mapungufu yako!
Utakuwa Mnyonge Daima!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mm hata ninalo sasa saiv nawaangalia tu[emoji55][emoji55][emoji55][emoji55]juu chini
Asantee!!
WajibebeeMm hata ninalo sasa saiv nawaangalia tu[emoji55][emoji55][emoji55][emoji55]juu chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini mwanaume awe mbeya ?au ..Tatizo wanapenda kujuana kwa nia ovu ndio maana kila siku wanalalamika.
Hivi hii thread umeamua kunifungulia mimi?
Kwani imekugusa General?Hivi hii thread umeamua kunifungulia mimi?
Tabia tu....
Mi hata sijui, naona mapichapicha, kizunguzungu na maruweruwee!!
SawaMi hata sijui, naona mapichapicha, kizunguzungu na maruweruwee!!
Kwanini ukalia sasa!?.. ndo ulevi wako upo hivyo!?..
Wewe hujawahi ku michwa vizuri na tatizo lako huwa unafananisha hao watoto unaomichwa nao na wanaume.
Nikinywa hiyo jebel au konyagi nachizikaa siziweziiKwanini ukalia sasa!?.. ndo ulevi wako upo hivyo!?..
Yaan humu ukiandika mada zenye tija wala hawachangii andika upuuzi ,umbea,udaku watapigiana simu,wataitana mbaya zaidi wanaume ,bora wanawake tunajuanaga ni wambea tunachambana yanaisha,,wanaume ukiwa mbea lazima tukushangae,,kuna wanaume wambeya humu mnapenda kuchunguza mambo hata hayawaingizii pesa yaone kwanza.
mme wangu ananijua zaidii na ni bonge la bwana sio hutaki kunya mtungi wa gesi sio nyie wa...... wa humu ,,
Heko kwa wote mnaonikubali na ninaowakubali pia mbarikiwe mimi sio pesa kusema nipendwe na kila mtu
Acheni umbeya fanyeni kazi mkituiga ambao hatuna kazi mtakufa makalio juu
kwa hicho KIFO, masela wataacha umbea period
Mmmh.Nilitaka kushangaa huu Uzi wa mama Sabrina G asiwekwe angalau kasentensi kamoko tuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji126] [emoji126] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
NB:Nakazia wanaume wa jf baadhi yao kwa umbea nawavulia hat!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja kwa kasi ya 5GLeo mama G naona umekuwa kritika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume mkuje mnaitwa