Watu wa jf wanapenda umbea kweli

Watu wa jf wanapenda umbea kweli

Yaan humu ukiandika mada zenye tija wala hawachangii andika upuuzi ,umbea,udaku watapigiana simu,wataitana mbaya zaidi wanaume ,bora wanawake tunajuanaga ni wambea tunachambana yanaisha,,wanaume ukiwa mbea lazima tukushangae,,kuna wanaume wambeya humu mnapenda kuchunguza mambo hata hayawaingizii pesa yaone kwanza.

mme wangu ananijua zaidii na ni bonge la bwana sio hutaki kunya mtungi wa gesi sio nyie wa...... wa humu ,,

Heko kwa wote mnaonikubali na ninaowakubali pia mbarikiwe mimi sio pesa kusema nipendwe na kila mtu

Acheni umbeya fanyeni kazi mkituiga ambao hatuna kazi mtakufa makalio juu

kwa hicho KIFO, masela wataacha umbea period
 
Back
Top Bottom