Watu wa jf wanapenda umbea kweli

Watu wa jf wanapenda umbea kweli

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wick mzee wa kujibebea akienda club kanishinda huyu mwanaume
Hamna ile nakuaga nakutisha tu, tukifika nje wanaenda makwao mbona!..

Halafu title ya hii mada inaniogopesha mie na umbea tena!.. hebu nipe kiufupi mmeanzia wapi nyie watu.
 
Nilitaka kushangaa huu Uzi wa mama Sabrina G asiwekwe angalau kasentensi kamoko tuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji126] [emoji126] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

NB:Nakazia wanaume wa jf baadhi yao kwa umbea nawavulia hat!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe na genge lako kuna tatizo linalowasumbua.
Yawezekana kuna biashara haramu (kujiuza) huwa mnaifanya huku.
Au kudanga. Kila siku nyie ndiyo mnasemwa tuu, na kuvujishiwa picha kwa nini siyo wengine?
Tafuteni kazi za kufanya acheni kiki za kipumbavu. Pia itawasaidia kupumzisha papuchi zenu.
Tutawadhalilisha tuu HAMNA NAMNA
Hatuna kazi mtuajiri basi,ili mtuache kusema
Halaf genge langu lipi[emoji23],
Papuchi zetu zina nafasi we una tatizo nazo?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom