Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama la mama,,,Mama s. On fireeeeee[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Kumbe mzigua yupo singo eeeh, fanya basi na mimi nimege kisela hapo best.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aminia bradhaBinadamu. Kiumbe mtata ajabu na asiyeeleweka.
Tuvumilianeni tu kwa sababu hakuna namna.
Pole !!!
Wanaenda makwao umekuwa joka la kibisa huu uzi haukufai babe wewe na hizi mambo wapi na wapiHamna ile nakuaga nakutisha tu, tukifika nje wanaenda makwao mbona!..
Halafu title ya hii mada inaniogopesha mie na umbea tena!.. hebu nipe kiufupi mmeanzia wapi nyie watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] DabyVipi...Naona wanakuonea hawa watu.
nimeogopa kujibu hiyo miss u G asije nifuata akaniua.
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]
kwamba sisi mashetani!?.. Sabby vipi wewe!!.
Kwa JF hapana mkuu......kwangu humu ni sehemu ya kushangaa malalamiko ya wengine!Wewe huna malalamiko?
@Wick hawezi fanya hivyooYeye anajibebea tu anayekuja mbele yake
oohh!.. basi endelea kumshawishi kwa mfano tufanye house party wewe na G mimi na Mama Sabrina one night stand!..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimetoa mfano tu
Kila siku nikikuqoute unajibu kisiasa... hivi unayojibu huwa ni majibu ya kisiasa au ni ya ukweli wako kabisa?Kwa JF hapana mkuu......kwangu humu ni sehemu ya kushangaa malalamiko ya wengine!
Sent using Jamii Forums mobile app
Lala nao sambamba.
Malaika mme wangu,sio shetanikwamba sisi mashetani!?.. Sabby vipi wewe!!.
Nani anaajiri wanawake wasio na stara?Hatuna kazi mtuajiri basi,ili mtuache kusema
Halaf genge langu lipi[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo mana vituko vyote sikuweki mbali!.. Unajua kabisa mechi za ugenini lazima nifanye kukaa fiti!..Wanaenda makwao umekuwa joka la kibisa huu uzi haukufai babe wewe na hizi mambo wapi na wapi
kwamba sisi mashetani!?.. Sabby vipi wewe!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeoohh!.. basi endelea kumshawishi kwa mfano tufanye house party wewe na G mimi na Mama Sabrina one night stand!..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...sio kweli mkuu wangu, huwa nakujibu kiukweli kutoka fumbatio la moyo wangu!Kila siku nikikuqoute unajibu kisiasa... hivi unayojibu huwa ni majibu ya kisiasa au ni ya ukweli wako kabisa?