Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,170
Huku kua fiti si kwa ajiri yako lakini!!..Me nishakwambia nataka uwe fiti wewe?Kwa sababu mm sina moyo eenh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kua fiti si kwa ajiri yako lakini!!..Me nishakwambia nataka uwe fiti wewe?Kwa sababu mm sina moyo eenh
Ndio manaakekuna mda wa kukosoa na kusifu, hela haitafutwi kila wakati
una lite bucket kwa ajiri yako tuu, halafu na Balimi crate kwa ajiri yake tu!..
Babe kweli ulisemaHuku kua fiti si kwa ajiri yako lakini!!..Me nishakwambia nataka uwe fiti wewe?
Aseee ,Shayo niongeze ugimbiSoon utamuona we utaninyang'anya ,hakuna mpuuzi yeyote narudia yeyote anaemfikia humu G kwa chochote kile kuanzia muonekano hadi pesa hawataki wakufe [emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Balimi tenaa jamani hanywiiuna lite bucket kwa ajiri yako tuu, halafu na Balimi crate kwa ajiri yake tu!..
Duuuuh[emoji15] [emoji15] [emoji15]Soon utamuona we utaninyang'anya ,hakuna mpuuzi yeyote narudia yeyote anaemfikia humu G kwa chochote kile kuanzia muonekano hadi pesa hawataki wakufe [emoji57][emoji57][emoji57]
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mm bucket 2 babe za heinekenuna lite bucket kwa ajiri yako tuu, halafu na Balimi crate kwa ajiri yake tu!..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hornet mbavu zanguUkute mpaka papa langu unalo.....
Maanina
[emoji252] [emoji479]
wanaume wa daslama ndio wenye kupenda umbeya na kuchambana
Uliyasema haya babeNiliyaona haya mapemaaa!.. me hata aite nyani ila asikuite mbaya wewe toto zurii!!...
Saa hizi ushalewa na kurudi nyumbaniMi nishalewa mbona [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],hapa nimerudi home tayarii
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe uko fiti mama, najua hupendi nenepa ili kale ka gauni kako ka chocolate kakukae vizuri!.. sasa mie na mambo haya soon kitambi kinanihusu hapa kwenyewe kafriji tayari kwa mbali!!..Babe kweli ulisema
Mbona yule ni Wa Arusha?wanaume wa daslama ndio wenye kupenda umbeya na kuchambana
Umejuajee kama ulikuwepowanaume wa daslama ndio wenye kupenda umbeya na kuchambana
Babe wangu mama namilikiwa memeSaa hizi ushalewa na kurudi nyumbani
Kichwa chako siyo cha pombe aisee
[emoji252] [emoji479]
yupi tenaaaa????Mbona yule ni Wa Arusha?
Au kule ni tawi LA daslama?
[emoji252] [emoji479]
Usicheke nimepata shock....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hornet mbavu zangu