Watu wa Kaskazini inabidi muungane kuwaokoa wenzenu Wamasai

Watu wa Kaskazini inabidi muungane kuwaokoa wenzenu Wamasai

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Ukweli ni kwamba kwenye hii nchi Kanda ya kaskazini inaongoza Kwa kuwa na rasilimali zenye kuingiza pesa za kigeni ... Sehemu popote ambapo mzungu anapapendelea automatically hapo kuna kisima cha hela.

Wanalofanyiwa wamasai Kwa sasa ni uonevu wa Hali ya juu , Leo wanafukuzwa na inasemekana kuna mwekezaji ambaye uwekezaji wake haupo wazi , sababu zinaweza kuwa zimejibanza kwenye maslahi ya Taifa lakini Taifa letu Lina mfumo mbovu wa ulinzi wa rasilimali za Taifa..!!

Tumeshuhudia watanzania wengi wakifukuzwa toka maeneo ya migodini , watu wakaondolewa wakat mwingine Kwa mauaji kisa anapewa mwekezaji ,tukaja kugundua kumbe mwekezaji anachukua almost kila kitu , serikali inakosa inachokitaka na wakazi wamefukuzwa yaani inakuwa total loss , kisa tu kuna genge lilinufaika Kwa vi-billion kadhaa Kwa Gharama ya kuumiza raia wengi.

Kuhusu Ngoro ngoro , Kama sa hv mmeamua kulinda mipaka , mipaka inatakiwa ilindwe kuanzia pale walipoishia sa hv ili wasiendelee mbele na sio kuwaondoa Kwa nguvu....!!!

Hawa watu wasio na utu wakiachwa hv wakimaliza Ngoro ngoro , watahamia mlima kilimanjaro , wakimaliza mlima kilimanjaro watahamia Mgodini Mererani
 
Mimi mbona wa Kaskazini na naunga mkono Wamasai kuondoka Ngorongoro, siungi mkono wapigwe risasi ila lazima waondoke

Tunahitaji kuhakikisha hifadhi zetu zinakuwa sustainable,

Halafu unachofanya ni ukanda, kama unatetea wamasai watetee kwa hoja sio kuleta ukanda
 
Mimi mbona wa Kaskazini na naunga mkono Wamasai kuondoka Ngorongoro, siungi mkono wapigwe risasi ila lazima waondoke

Tunahitaji kuhakikisha hifadhi zetu zinakuwa sustainable,

Halafu unachofanya ni ukanda, kama unatetea wamasai watetee kwa hoja sio kuleta ukanda

Kukosekana kwa transparency katika Serikali yetu ndiyo chimbuko la hizi shida. Tuna Serikali inayoongozwa na watu ambao uongo na unafiki ndiyo dini yao.

I have already written off Katelefoni. Yule ni takataka tu; siku hizi sitaki hata kusikia anaongea nini. Tukija kwa Sa100 mwenyewe, ni Mnafiki-In-Chief. Sasa ni Serikali gani hiyo isiyokuwa na hata chembe ya uadilifu?
 
chawa promax Pascal Mayalla
mnafiki, mpuuzi anayetafuta cheo, mwandishi mnafiki, kenge anayekimbia matone ya mvua akaingia kwenye dimbwi mtoni.... ANASEMAJE KUHUSU NGORONGORO..... Mnafiki Pascal Mayalla nijibu hapa na punguza kusifu na kuabudu maana cheo ulikikosa enzi za jiwe hutakipata tena. SHWAIN.
Mkuu NJEMBA Soro, if this makes you happy, be happy.
P
 
Kumbe ndo malengo yenu ili tudundwe..😂
 
Uchumi wa kaskazini ni shughuli za utalii na wako makini sana kulinda hizo hifadhi na wanao wadanganya wamasai sio watu wa kaskazini ni watu wa nyanda zingine ambao hata ngorongoro kwenyewe hawakujui kunafananaje.
 
Ukweli ni kwamba kwenye hii nchi Kanda ya kaskazini inaongoza Kwa kuwa na rasilimali zenye kuingiza pesa za kigeni ... Sehemu popote ambapo mzungu anapapendelea automatically hapo kuna kisima cha hela ....

Wanalofanyiwa wamasai Kwa sasa ni uonevu wa Hali ya juu , Leo wanafukuzwa na inasemekana kuna mwekezaji ambaye uwekezaji wake haupo wazi , sababu zinaweza kuwa zimejibanza kwenye maslahi ya Taifa lakini Taifa letu Lina mfumo mbovu wa ulinzi wa rasilimali za Taifa...!!

Tumeshuhudia watanzania wengi wakifukuzwa toka maeneo ya migodini , watu wakaondolewa wakat mwingine Kwa mauaji kisa anapewa mwekezaji ,tukaja kugundua kumbe mwekezaji anachukua almost kila kitu , serikali inakosa inachokitaka na wakazi wamefukuzwa yaani inakuwa total loss , kisa tu kuna genge lilinufaika Kwa vi-billion kadhaa Kwa Gharama ya kuumiza raia wengi ....

Kuhusu Ngoro ngoro , Kama sa hv mmeamua kulinda mipaka , mipaka inatakiwa ilindwe kuanzia pale walipoishia sa hv ili wasiendelee mbele na sio kuwaondoa Kwa nguvu....!!!

Hawa watu wasio na utu wakiachwa hv wakimaliza Ngoro ngoro , watahamia mlima kilimanjaro , wakimaliza mlima kilimanjaro watahamia Mgodini Mererani
Mbona mmachame Kweka amempeleka Mmasai SABAYA kwenye Ngome yao Kilimanjaro baada ya Kuwashinda kihalali akiwa kwenye Boma lake halali pale El-kisongo Arusha?

Mnapinga kuwahamisha wamasai wakati nyinyi ndio mlioanza kuwahamisha kinyemela!
 
Nipo na Massawe, Maro , Shirima na Mushi,
Tunajadiliana hapa ,
Maandiko yana ruhusu kuongozwa na mwanamke?
Je ni sawa Mzanzibar kumuondoa Maasai Arusha?
Je Masai Ni mojawapo ya kivutio hapo Kati kati ya Simba na Tembo?
 
Back
Top Bottom