Watu wa kataa ndoa hii tunaiitaje!?

Watu wa kataa ndoa hii tunaiitaje!?

Bakalalwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2024
Posts
748
Reaction score
1,217
1729686331144.jpg
 
Mungu anasikitika na kushangaa sana anapoona mwanaume analia na kuteseka kisa mwanamke mmoja wakati kashaumba wengi ni wewe kuchagua tu.

Wanaume acheni upuuzi wa kulialia kisa wanawake, simamieni misingi ya uanaume wenu
Kulia tutalia tu, haina ubishi.

Wanaume wanalazimishwa kukandamiza hisia, kitu ambacho hakiwezekani na kina hasara kuliko faida.
 
Mungu anasikitika na kushangaa sana anapoona mwanaume analia na kuteseka kisa mwanamke mmoja wakati kashaumba wengi ni wewe kuchagua tu.

Wanaume acheni upuuzi wa kulialia kisa wanawake, simamieni misingi ya uanaume wenu
Hii ndio mara ya kwanza naona umeandika comment ndefu, siku za kawaida case kama hii ungempa ile "Pole mkuu" alaf unapita hivi
 
Kuna namna mtu akiwa hakutaki hata uandishi wake au maongezi yanaonyesha.

Tatizo siyo mwanamke tatizo ni mwanaume hapo.

Tafuta mwanamke anayekupenda wewe kuliko wewe unavyompenda uache kujieleza sana hivyo.
 
Mungu anasikitika na kushangaa sana anapoona mwanaume analia na kuteseka kisa mwanamke mmoja wakati kashaumba wengi ni wewe kuchagua tu.

Wanaume acheni upuuzi wa kulialia kisa wanawake, simamieni misingi ya uanaume wenu
Point
 
Back
Top Bottom