Kulupango
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 288
- 535
NIMEINUKUU PAHALA
1- Kupanda treni mpaka uwe na Kitambulisho au barua ya serekali ya mtaa
2- Kupanda treni mpaka ulale station ndio upate tiketi
3- Ukijifanya unapanda usafiri wa basi ujue utakumbana na barrier ya uhamiaji na mtakaguliwa kama wakimbizi
4- Meli yenu MV Liemba haifanyi kazi tangu 2017, na ikifanya kazi mkifika Kigoma saa moja jioni hamtoki hapo bandarini mpaka saa mbili asubuhi ili maafisa uhamiaji waje mkaguliwe kama wakimbizi (hivyo ukiwa na mgonjwa atafia hapo), Muda mwingine hufika saa nne asubuhi
5- Mkumbuke nyinyi ndio mnakasumbu ya ukimbizi kuliko mikoa yote iliyopo mipakani (Mamlaka zimewapachika kasumba za ukimbizi ili mkose pakujitetea haswa ukionekana mtu wa haki na mfuata sheria. Cc Abdul Nondo, Zitto Kabwe, Askof Kakobe, shekh ponda, n.k
6 - Kumbukeni mpaka leo wengi wenu hamna vitambulisho vya NIDA kwa kasumba mliyovishwa ya Ukimbizi na watu wenye mamlaka
7 - Nadra sana kumkuta MMANYEMA na MUHA wameajiriwa na jeshi la Tanzania, kidogo Waha lakini siyo Wamanyema kina Zitto, wengi wao hukimbilia usanii ili kupata tonge, ndio hao kina Dia, Kiba, Chege n.k
8 - Kigoma mmepigwa pigo la Udini na Ukabila, hivyo mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe bila kujijua, msako wa wakimbizi ukija mnaanza kusakiziana Waha na Wamanyema. Mmanyema auchawi wa Tongwe na Muha uchawi wa Kibondo
9 - Mamlaka zinawasakama kwasababu mnauwezo kiakili kutokana na migebuka mnayokula, hivyo mkiachiwa nafasi itakuwa hatari
10 - Zunguka Dar es salaam nzima kila kijana muuza madafu ni MUHA, (hii inadhihirisha namna mlivyonyimwa elimu na mamlaka husika tangu enzi na enzi) . Vijana wenu wanatembeza madafu kwa Baisikeli kutoka Gongo la mboto hadi posta
11 - Leo Kigoma hakuna tena wale matajiri WAKASAI kutoka Lubumbashi mliokuwa mkiwategemea kwa ajili ya biashara zenu, kutokana na mfumo uliojengwa na mamlaka inabidi WAKASAI wakimbilie Mwanza kuchukua dagaa wa mwanza.
12 - Huku kwetu Arusha ni kawaida sana kumkuta Mkenya akiishi kwenye nyumba zetu na hata kupanga, lakini sio Kigoma: nyumba ikikutwa na Mkongomani au Mrundi hatakama kaingia kwa halali wenyeji hawakosi presha ya kuvamiwa na mamlaka.
13 - Huku kwetu sisi wamakonde tuna ndugu zetu Mozambique na wala hatufichi wala hatubabaiki, lakini huko Kigoma hakuna mtu anaweza akakubali kama ana ndugu nchini CONGO au BURUNDI.
Kwa leo naishia hapo wanakigoma: Kumbukeni vikwazo vyote hivyo vimeletwa na serekali za CCM tangu enzi na enzi, na hii ni kwasababu Jimbo la Kigoma mjini mnawapa wapinzani kila uchao ndio maana mamlaka zinaendelea kuwanyanyapaa na kuwanyanyasa. Ni aibu sana tena ushamba uliopindukia kwa mwana Kigoma kuishabikia CCM.
1- Kupanda treni mpaka uwe na Kitambulisho au barua ya serekali ya mtaa
2- Kupanda treni mpaka ulale station ndio upate tiketi
3- Ukijifanya unapanda usafiri wa basi ujue utakumbana na barrier ya uhamiaji na mtakaguliwa kama wakimbizi
4- Meli yenu MV Liemba haifanyi kazi tangu 2017, na ikifanya kazi mkifika Kigoma saa moja jioni hamtoki hapo bandarini mpaka saa mbili asubuhi ili maafisa uhamiaji waje mkaguliwe kama wakimbizi (hivyo ukiwa na mgonjwa atafia hapo), Muda mwingine hufika saa nne asubuhi
5- Mkumbuke nyinyi ndio mnakasumbu ya ukimbizi kuliko mikoa yote iliyopo mipakani (Mamlaka zimewapachika kasumba za ukimbizi ili mkose pakujitetea haswa ukionekana mtu wa haki na mfuata sheria. Cc Abdul Nondo, Zitto Kabwe, Askof Kakobe, shekh ponda, n.k
6 - Kumbukeni mpaka leo wengi wenu hamna vitambulisho vya NIDA kwa kasumba mliyovishwa ya Ukimbizi na watu wenye mamlaka
7 - Nadra sana kumkuta MMANYEMA na MUHA wameajiriwa na jeshi la Tanzania, kidogo Waha lakini siyo Wamanyema kina Zitto, wengi wao hukimbilia usanii ili kupata tonge, ndio hao kina Dia, Kiba, Chege n.k
8 - Kigoma mmepigwa pigo la Udini na Ukabila, hivyo mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe bila kujijua, msako wa wakimbizi ukija mnaanza kusakiziana Waha na Wamanyema. Mmanyema auchawi wa Tongwe na Muha uchawi wa Kibondo
9 - Mamlaka zinawasakama kwasababu mnauwezo kiakili kutokana na migebuka mnayokula, hivyo mkiachiwa nafasi itakuwa hatari
10 - Zunguka Dar es salaam nzima kila kijana muuza madafu ni MUHA, (hii inadhihirisha namna mlivyonyimwa elimu na mamlaka husika tangu enzi na enzi) . Vijana wenu wanatembeza madafu kwa Baisikeli kutoka Gongo la mboto hadi posta
11 - Leo Kigoma hakuna tena wale matajiri WAKASAI kutoka Lubumbashi mliokuwa mkiwategemea kwa ajili ya biashara zenu, kutokana na mfumo uliojengwa na mamlaka inabidi WAKASAI wakimbilie Mwanza kuchukua dagaa wa mwanza.
12 - Huku kwetu Arusha ni kawaida sana kumkuta Mkenya akiishi kwenye nyumba zetu na hata kupanga, lakini sio Kigoma: nyumba ikikutwa na Mkongomani au Mrundi hatakama kaingia kwa halali wenyeji hawakosi presha ya kuvamiwa na mamlaka.
13 - Huku kwetu sisi wamakonde tuna ndugu zetu Mozambique na wala hatufichi wala hatubabaiki, lakini huko Kigoma hakuna mtu anaweza akakubali kama ana ndugu nchini CONGO au BURUNDI.
Kwa leo naishia hapo wanakigoma: Kumbukeni vikwazo vyote hivyo vimeletwa na serekali za CCM tangu enzi na enzi, na hii ni kwasababu Jimbo la Kigoma mjini mnawapa wapinzani kila uchao ndio maana mamlaka zinaendelea kuwanyanyapaa na kuwanyanyasa. Ni aibu sana tena ushamba uliopindukia kwa mwana Kigoma kuishabikia CCM.
Kigoma