Hapana, ni kijiji kimoja wilayani Kasulu kinaitwa Ruhita.Hiyo attachment yako ni kasulu, karibu na posta, sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, ni kijiji kimoja wilayani Kasulu kinaitwa Ruhita.Hiyo attachment yako ni kasulu, karibu na posta, sio
Npo kigoma nimezaliwa hapa 1975 maweni pale hayo yaliosemwa ni ukweli mtu kunasiku kabouru aliwahi kusema inatakiwa tukaombe uhuru wetu kwa wabeligiji nilikuwa bado mdogo uliyo yaliosemwa nilifikiri naona pekeyangu inadhunisha sana hadi leo kupata tiketi nimtihani mkubwa tuondolewe usumbufu huu naipenda tanzaniaNimezaliwa kigoma nimesomea kigoma nimeajiriwa mwanza na nina mashamba makubwa kigoma asilimia 98 na ulivyoandika ni UONGO
umemaliza kiongoziNpo kigoma nimezaliwa hapa 1975 maweni pale hayo yaliosemwa ni ukweli mtu kunasiku kabouru aliwahi kusema inatakiwa tukaombe uhuru wetu kwa wabeligiji nilikuwa bado mdogo uliyo yaliosemwa nilifikiri naona pekeyangu inadhunisha sana hadi leo kupata tiketi nimtihani mkubwa tuondolewe usumbufu huu naipenda tanzania
Kwani muongo ? Wakati stori za kigoma zipo wazi. Na watu wa kigoma huwa awarudi kwaoNimezaliwa kigoma nimesomea kigoma nimeajiriwa mwanza na nina mashamba makubwa kigoma asilimia 98 na ulivyoandika ni UONGO
Unatakiwa uthibitishe hayo yaliyotajwa yapo au hayapo, kama wewe siyo mwanakigoma waachie wenyewe wanakigoma wanafahamuNa yenyewe hii ni turufu ya kushinda uchaguzi?
Haya kwa nn Kenya wako huru Arusha Knjaro Tarime Tanga na Pemba?
Kwa nn msumbiji, Malawi, Zambia wako huru na mipaka yetu?
Hizi zitakuwa siasa za kidini za mzee wa Kimanyema kama ulivomtaja labda ni boss wako pia kakutuma ulete hapa ujinga huu.
Muulize lini anafanya kampeni mikoa yenye wakristo wengi? Idiot.
Mwambieni ZZK aache udini. Nimemwambia Twitter kakimbia sasa huku naona upo agent wake.Unatakiwa uthibitishe hayo yaliyotajwa yapo au hayapo, kama wewe siyo mwanakigoma waachie wenyewe wanakigoma wanafahamu
Unatakiwa uthibitishe hayo yaliyotajwa yapo au hayapo, kama wewe siyo mwanakigoma waachie wenyewe wanakigoma wanafahamuMwambieni ZZK aache udini. Nimemwambia Twitter kakimbia sasa huku naona upo agent wake.
Hata Membe kumpoka ugombea Urais sbb kuu ni kafiri tu hamna lolote nyie wadini wakubwa.
Mwambieni ZZK aache udini. Nimemwambia Twitter kakimbia sasa huku naona upo agent wake.
Hata Membe kumpoka ugombea Urais sbb kuu ni kafiri tu hamna lolote nyie wadini wakubwa.
HayapoAweje muwazi wakati naye kaikuta sehemu. Chamsingi tujiulize hayo yapo Kigoma? Nakama yapo mwisho wake yawezakuwa 28, October 2020
Kwahiyo hata madame Joyce na mzee Mpango Ni wauza madafu,daah!basi sawa.
Jibu hoja vyenginevyo ww ndio utaonekana una elements za udini kwa sababu kwenye bandiko lake sikuona kuihusisha Dini na hizi hali zaoMwambieni ZZK aache udini. Nimemwambia Twitter kakimbia sasa huku naona upo agent wake.
Hata Membe kumpoka ugombea Urais sbb kuu ni kafiri tu hamna lolote nyie wadini wakubwa.