Watu wa mataifa mengine hasa Wachina kufanya biashara za umachinga ni kuua soko la wazawa

Watu wa mataifa mengine hasa Wachina kufanya biashara za umachinga ni kuua soko la wazawa

MIRA01

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2023
Posts
319
Reaction score
695
Hii sijui niite ujinga ama ubinasfi au kukosa kabisa maarifa juu ya upendo wa nchi yako au kwa jamii yako kabisa?

Kuna hili sakata kwa sasa kwa wageni haswa wachina wamekuwa wengi sana hapa nchini na. Mbaya zaidi wanafanya kazi za wazawa tena zile za chini kabisa, nazungumzia umachinga

Unakuta mgeni(mchina) anamtaji mkubwa alafu anafanya biashara kama machinga na si muwekezaji, rudi kwenye masoko yetu makubwa na mikoa yetu hakuna sehemu mchina kwa sasa hayupo na mbaya zaidi anatumia supply chain ile ile kumfikia hadi mteja wa mwisho, kiufupi ni ana uwa soko kabisa

Tunaweza tusilione hilo kwa sasa lakini embu fikiria kwa kijana mwenye mtaji mdogo anawezaje. Kuwa na ushindani kwa mgeni ? Huyo?

Kilichonikera zaidi wachina nchini ndio wanaongoza kukwepa kodi tena wanashirikiana na wazawa kabisa ambao ni wafanyakazi wao kukwepa kodi. Sasa hivi wanawatumia wazawa kuwaweka front haswa kwenye nyaraka za umiliki, alafu wana waforce kuhakikisha hawalipi mapato ya seriakali. Mfano mdogo tuh mchina naingiza mtaji wa Tsh 500M alafu anasema yeye ni retail store kwahiyo makadirio ya kodi yako chini na bado ujanja ujanja ni mwingi sana wakisaidiwa na wazawa ambao wanasahau hiyo kodi ndio inayojenga nchi yetu.

Kama umeshindwa kufanya kodi iende serikalini kwann usiipige wewe mzawa? Ukajipatia na mtaji? Achane kuwaogopa wageni kwanza mtu anakufokeaje nchini kwako na unajua hajanyooka?

Wachina wanatabia ya kukutafutia mbadala hata uwe bora kiasi gani so kama upo kwa wageni itetee nchi yako ama tetea mkate wako na familia yako sio kumpa chance ya kutunyonya.

Hawa jamaa wametuona mazuzu kiasi kwamba wanazidi kuongezeka, wanapita hadi madukani kwa sasa wanauza hadi pc 1 sasa kinachofata si watapita majumbani kutafuta wateja???
 
Bora wafanye biashara muache kuringa
Kweli kabisa, hawa wa kwetu maringo mengi, mara wagome, mara hawatoi EFD, bei za wabongo hazieleweki, kitu cha 5000, atakuanzia 25,000, anataka mbishane weee, lakini mchina kanyooka, kama bidhaa ni elfu moja, ni hiyo hiyo. Halafu wanataka nchi iwadekeze. Nchi itasimama na yeyote yule cha msingi awe tayari kulipa kodi tu
 
Kweli kabisa, hawa wa kwetu maringo mengi, mara wagome, mara hawatoi EFD, bei za wabongo hazieleweki, kitu cha 5000, atakuanzia 25,000, anataka mbishane weee, lakini mchina kanyooka, kama bidhaa ni elfu moja, ni hiyo hiyo. Halafu wanataka nchi iwadekeze. Nchi itasimama na yeyote yule cha msingi awe tayari kulipa kodi tu
Aliyekwambia mchina analipa kodi ni nani? Mbongo anauza hivyo kwa sababu ya malimbukizo ya kodi na. Yy apate
 
Hii sijui niite ujinga ama ubinasfi au kukosa kabisa maarifa juu ya upendo wa nchi yako au kwa jamii yako kabisa?

Kuna hili sakata kwa sasa kwa wageni haswa wachina wamekuwa wengi sana hapa nchini na. Mbaya zaidi wanafanya kazi za wazawa tena zile za chini kabisa, nazungumzia umachinga

Unakuta mgeni(mchina) anamtaji mkubwa alafu anafanya biashara kama machinga na si muwekezaji, rudi kwenye masoko yetu makubwa na mikoa yetu hakuna sehemu mchina kwa sasa hayupo na mbaya zaidi anatumia supply chain ile ile kumfikia hadi mteja wa mwisho, kiufupi ni ana uwa soko kabisa

Tunaweza tusilione hilo kwa sasa lakini embu fikiria kwa kijana mwenye mtaji mdogo anawezaje. Kuwa na ushindani kwa mgeni ? Huyo?

Kilichonikera zaidi wachina nchini ndio wanaongoza kukwepa kodi tena wanashirikiana na wazawa kabisa ambao ni wafanyakazi wao kukwepa kodi. Sasa hivi wanawatumia wazawa kuwaweka front haswa kwenye nyaraka za umiliki, alafu wana waforce kuhakikisha hawalipi mapato ya seriakali. Mfano mdogo tuh mchina naingiza mtaji wa Tsh 500M alafu anasema yeye ni retail store kwahiyo makadirio ya kodi yako chini na bado ujanja ujanja ni mwingi sana wakisaidiwa na wazawa ambao wanasahau hiyo kodi ndio inayojenga nchi yetu.

Kama umeshindwa kufanya kodi iende serikalini kwann usiipige wewe mzawa? Ukajipatia na mtaji? Achane kuwaogopa wageni kwanza mtu anakufokeaje nchini kwako na unajua hajanyooka?

Wachina wanatabia ya kukutafutia mbadala hata uwe bora kiasi gani so kama upo kwa wageni itetee nchi yako ama tetea mkate wako na familia yako sio kumpa chance ya kutunyonya.

Hawa jamaa wametuona mazuzu kiasi kwamba wanazidi kuongezeka, wanapita hadi madukani kwa sasa wanauza hadi pc 1 sasa kinachofata si watapita majumbani kutafuta wateja???
mnasahau kwamba kwenye nchi zao pia kuna watanzania wengi tu wachuuzi. mnataka mchuuze ninyi tu ila mkichuuzwa panawauma. hii dunia ya wote, acha washindane, anayeshindwa anyooshwe na kujifunza kushindana.
 
mnasahau kwamba kwenye nchi zao pia kuna watanzania wengi tu wachuuzi. mnataka mchuuze ninyi tu ila mkichuuzwa panawauma. hii dunia ya wote, acha washindane, anayeshindwa anyooshwe na kujifunza kushindana.
Wewe subiria mshahara mwisho wa mwezi tuh bado akiliyako haijajielewa
 
Wewe subiria mshahara mwisho wa mwezi tuh bado akiliyako haijajielewa
kama mawazo yako bado yanaamini kila aliyepo humu ni mtu wa mshahara basi upo very backward, na ndio maana unawaogopa wachina kwenye ulimwengu wa biashara huria, sipo level izo unazoniweka, mimi ni zaidi ya mshahara. nimeishi nchi nyingi tu africa na magharibi, watanzania walioko huko wamehemea na ni wachuuzi na wahangaikaji tu. ulimwengu wa sasa ni wa ushindani kwenye kila kitu, acha watu washindane ili walete huduma bora, mwenye ubora wa huduma afanikiwe, mzushi ajifunze kwa walio bora. Mimi nikiwa na duka langu hapa, mchina akaweka pembeni kwa mtaji wake, sote tuna huduma nzuri, ninaathirika nini? ana tofauti gani na mchaga au mkinga angeweka duka kama la kwangu pembeni? au kwasababu yeye ni mchina? unajua china kuna watanzania wengi tu wanadandiadandia tu biashara? na wanaachwa tu, na nchi zingine tena wapo, ukifukuza raia wao unawaweka mazingira gani raia wako waliopo kwenye nchi zao? wewe kama huduma unatoa bora wanakutisha nini?
 
kama mawazo yako bado yanaamini kila aliyepo humu ni mtu wa mshahara basi upo very backward, na ndio maana unawaogopa wachina kwenye ulimwengu wa biashara huria, sipo level izo unazoniweka, mimi ni zaidi ya mshahara. nimeishi nchi nyingi tu africa na magharibi, watanzania walioko huko wamehemea na ni wachuuzi na wahangaikaji tu. ulimwengu wa sasa ni wa ushindani kwenye kila kitu, acha watu washindane ili walete huduma bora, mwenye ubora wa huduma afanikiwe, mzushi ajifunze kwa walio bora. Mimi nikiwa na duka langu hapa, mchina akaweka pembeni kwa mtaji wake, sote tuna huduma nzuri, ninaathirika nini? ana tofauti gani na mchaga au mkinga angeweka duka kama la kwangu pembeni? au kwasababu yeye ni mchina? unajua china kuna watanzania wengi tu wanadandiadandia tu biashara? na wanaachwa tu, na nchi zingine tena wapo, ukifukuza raia wao unawaweka mazingira gani raia wako waliopo kwenye nchi zao? wewe kama huduma unatoa bora wanakutisha nini?
Ndugu narudia tena subir tuh mshaara kama hujui madhara ya mzalishaji kuuza bidhaa kwa mteja wa mwisho tena akiwa nyumbani kwako, unauelewa mdogo sana na mzani sawa kwnye masoko, unashindani nini na mchina kwa mfano kipi unashindana nacho kwa MO akisema afungue maduka yake ya rejareja kila mtaa auze bidhaa zake? Mtu mwenye kiwanda ambaye anazalisha mwenyew aje kufungua duka pembeni yako asilipie kodi stahiki ajisajili kama machingaa alf useme unashindana naye??? Eti umesafiri sana, kusafiri kwako kote lkn hujui na ujinga bado haujatoka kichwani??
 
Ndugu narudia tena subir tuh mshaara kama hujui madhara ya mzalishaji kuuza bidhaa kwa mteja wa mwisho tena akiwa nyumbani kwako, unauelewa mdogo sana na mzani sawa kwnye masoko, unashindani nini na mchina kwa mfano kipi unashindana nacho kwa MO akisema afungue maduka yake ya rejareja kila mtaa auze bidhaa zake? Mtu mwenye kiwanda ambaye anazalisha mwenyew aje kufungua duka pembeni yako asilipie kodi stahiki ajisajili kama machingaa alf useme unashindana naye??? Eti umesafiri sana, kusafiri kwako kote lkn hujui na ujinga bado haujatoka kichwani??
Mkuu huo ndio ukweli ila huyo jamaa anabishia sifa tu, anadai wabongo weng tu wapo china, hajuwi kule wanaachwa kwasababu hawana ushindani kwa wazawa maana wana mitaji midogo na sio wazalishaji, ndiomaana nchi zote za africa raia wa kigeni wanamtaka either apeleke ujuzi yani mtaalam fulan au awe muwekezaji ili aajiri watu na serikali ipate kodi, lakini hawahitaji kabisa mgeni awe machinga, kama anabisha atutajie nchi hata moja africa inayoruhusu mgeni kuwa machinga
 
Mkuu huo ndio ukweli ila huyo jamaa anabishia sifa tu, anadai wabongo weng tu wapo china, hajuwi kule wanaachwa kwasababu hawana ushindani kwa wazawa maana wana mitaji midogo na sio wazalishaji, ndiomaana nchi zote za africa raia wa kigeni wanamtaka either apeleke ujuzi yani mtaalam fulan au awe muwekezaji ili aajiri watu na serikali ipate kodi, lakini hawahitaji kabisa mgeni awe machinga, kama anabisha atutajie nchi hata moja africa inayoruhusu mgeni kuwa machinga
Juzi baba levo anasema watanzania wengi wamefungwa china, nitajie idad ya wachina 10 waliofungwa Tanzania? simple watz china hawana ushindani wanauza biashara haramu na kufanya dili haramu muda wote
 
Mikataba,mikataba,mikataba ya kidiplomasia......tunakopokopa kwa Mchina na yeye anatuletea mikataba ya kiuchumi ya kutukamua,raia wake wawe free kufanya biashara yoyote nchini.
 
Mikataba,mikataba,mikataba ya kidiplomasia......tunakopokopa kwa Mchina na yeye anatuletea mikataba ya kiuchumi ya kutukamua,raia wake wawe free kufanya biashara yoyote nchini.
Ni upumbavu mkubwa sana, hakuna taifa limewahi kuendelea kwa watu wake kufanya kazi za kuajiriwa? Ni mzigo kwa serikali lazma wafanyabiashara wawepo sasa ukiwakamua ni msala wa kulifilisi taiafa
 
Ndugu narudia tena subir tuh mshaara kama hujui madhara ya mzalishaji kuuza bidhaa kwa mteja wa mwisho tena akiwa nyumbani kwako, unauelewa mdogo sana na mzani sawa kwnye masoko, unashindani nini na mchina kwa mfano kipi unashindana nacho kwa MO akisema afungue maduka yake ya rejareja kila mtaa auze bidhaa zake? Mtu mwenye kiwanda ambaye anazalisha mwenyew aje kufungua duka pembeni yako asilipie kodi stahiki ajisajili kama machingaa alf useme unashindana naye??? Eti umesafiri sana, kusafiri kwako kote lkn hujui na ujinga bado haujatoka kichwani??
mshahara upi sasa, sikuelewi. halafu, kwani hao wachina wanaozurura mitaani, unafikiri kwao wana viwanda? au kwasababu haujawahifika china basi unafanya imaginations tu? hauelewi kama hao wachina masikini mnaoshindana nao wanaenda kujumua mali kule china kama vile tu wakinga na wachagga tunavyoenda kujumua kule na bora hata sisi tunajumua na kujaza meli, hao wachuuzi ni wa hali ya chini kama wewe tu. ulitakiwa kuogopa wachina wanaokuja kufanya biashara kubwa ya wholesale na kadhalika, ila unaogopa wachuuzi kwasababu akili yako imejaa chuki na unachokijua wewe hapa duniani ni lawama tu.
 
Back
Top Bottom