Watu wa Mbeya, badala ya kujichubua na kuwa kama vishetani, kwa nini msitumie mafuta ya kujikinga na jua?

Chief, umeniacha kidogo hapo, jua dar lilivo kali kiasi kile kuliko mbeya then useme mionzi ya jua ukiwa mbeya ni mikali zaid? Baridi na ubichi wote wa mbeya na iringa na njombe afu useme dar kuna hali ya unyevu unyevu kuliko kusini?
dadavua mkuu
Kwa sababu ya bahari. Miji kama Dar au Tanga, na hata Mwanza inakuwa na unyevu hewani mwingi kuliko sehemu kama Mbeya na Iringa. Na jua la Mbeya na Iringa huwa kali kwa sababu kuna kama kilomita moja na nusu ya atmophere(angahewa) hawana kwa kuwa kwao juu.

Ukiwa juu mionzi inakuwa mikali zaidi. Ndiyo maana unaonaga mapilot wakivaa ile miwani myeusi. Siyo urembo, ni kukinga macho na mionzi.

Sababu hizi mbili zinafanya jua huko kuwa kali sana. Kuna joto na kuna jua la kuchoma.
 
Pwani kuna moisture kubwa, ndio maana hata jasho linatoka jingi,
Iringa unaweza ukakaa week nzima hujatoka jasho lile la kutiririka
Huku jua likichoma kama vile upo chini ya zile magnifying lenses.
 
Bro uko close-minded. Hivi ukiulizwa sample size yako ilikuwa ngapi utajibu? Una maana ukikutana na mwanamke wa Mbeya chances za yeye kuwa amejibua itakuwa asilimia ngapi? Na ni kubwa kuliko mwanamke wa mkoa upi?

Hiyo kiongozi ndio huwa inaitwa generalization au stereotyping. They often say generalizations are easy to make and don't require much brain effort which reflects the limitations of a person's intellect. Si vyema, kusema population yote iko hivyo kutokana na experience ndogo uliyonayo. Badirika kiongozi.
 
Suala la wanawake Kujikoboa lipo sehem nyingi.... ila kuna kitu watu wa mbeya wamekukosea ndo maana ukaamua ukomae nao... ukawaitwa vishetaniiii....
 
Bahati nzuri sio wengi humu ndani
 
Chief, umeniacha kidogo hapo, jua dar lilivo kali kiasi kile kuliko mbeya then useme mionzi ya jua ukiwa mbeya ni mikali zaid? Baridi na ubichi wote wa mbeya na iringa na njombe afu useme dar kuna hali ya unyevu unyevu kuliko kusini?
dadavua mkuu
Mbeya Kuna jua aisee hatua hupigi dar Kuna joto ila jua si Kali
 
Mnao jichubua na mikorogo ya mafungu, mnaitwa hukuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ukienda Kyela hurudi. Hujawahi kutana na Black Beauty za Mbeya wewe.

Weusi ni rangi tu, achana na hizo nadharia za Melanin.

Nje ya mada: Kwa hiyo mtu mweusi mwenye mimba ya mtoto mweusi ukimpeleka Dar atazaa mtoto mweupe.
 
Kawaida ya sehemu zenye watu weusi kwa wingi hawajiamini,, hata Kagera ipo sana hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…