Watu wa Mbeya, badala ya kujichubua na kuwa kama vishetani, kwa nini msitumie mafuta ya kujikinga na jua?

Watu wa Mbeya, badala ya kujichubua na kuwa kama vishetani, kwa nini msitumie mafuta ya kujikinga na jua?

Tz hii sidhani kama kuna mkoa unaongoza kwa watu kujichubua kama Mbeya. Ukikuta mwanamke aliyejichubua kikweli anatisha. Sura inakuwa kama kokaragosi au kashetani hivi.

Lakini si wakulaumu. Habari ya kujichubua ipo duniani pote. Wazungu walifanikiwa kuteka akili za watu kuwa weupe ndiyo urembo. Nchi kama Korea, India, na nchi nyingine za Asia wanajichubua WaCongo na Watu wa Mbeya cha mtoto. Mafuta ya kujichubua ya Fair and Lovely yalianzia huko India. Jamaa imani yao kuwa kuwa mweupe ni urembo ni kali sana.
Sasa basi, ni nini kinasababisha watu kuwa weusi? Ni kemikali inayoitwa melanin. Hii hutengenezwa na ngozi ili kujikinga na mionzi mikali ya jua. Ni kemikali muhimu sana. Sasa hii hutengenezwa kwa wingi mtu anapochomwa na jua kali.

Sasa tuje huko Mbeya. Watu huwa wana dhana potofu kuwa baridi la Mbeya na mikoa mingine ya nyanda za juu kusini ndiyo husababisha weusi. Si kweli hata kidogo. Weusi ule unasababishwa na jua kali linalowachoma. Sehemu hizi zipo umbali kama wa wastani wa kilomita moja na nusu kutoka usawa wa bahari. Maana yake mtu wa sehemu kama Dar ana layer kubwa zaidi ya hewa inayopunguza nguvu za mionzi na kulinda ngozi yake kuliko yule wa sehemu kama Mbeya au Iringa.

Jambo jingine ni kuwa unyevunyevu(humidity) kwenye hewa kwenye mikoa hii ni mdogo kuliko sehemu kama Dar, Tanga nk. Unyevunyevu husaidia kupunguza ukali wa mionzi.

Utaona kuwa mtu wa nyanda za juu jua linampiga sana kuliko watu wa pwani. Na wengi wakienda pwani utaona ule weusi wao mzito unaanza kupungua.

Sasa basi, kwa vile tatizo ni jua kali(kama kuwa na weusi wa mkaa ni tatizo)basi hata solution iwe kuzuia kupigwa na jua kali. Moja ya njia nzuri ya kufanya hivyo ni kutumia mafuta, lotion na cream zinazosaidia kupunguza madhara ya miale ya jua kwenye ngozi.
Utaona madukani lotions zimeandikwa SPF-yaani sun protection factor- unakuta kuna za SPF-30. Ambayo inazuia zaidi ya 90% percent ya mionzi. Na zingine za juu kama SPF 40, 50 na kuendelea.

Nashauri watu wa Mbeya, Iringa, Njombe nk mnaojichubua na kuwa kama vishetani, mtumie hizi lotion, zitasaidia kwa kiasi kuweka ngozi zenu sawa.
tofaotisha kupaka poda na kujichubua
 
Tz hii sidhani kama kuna mkoa unaongoza kwa watu kujichubua kama Mbeya. Ukikuta mwanamke aliyejichubua kikweli anatisha. Sura inakuwa kama kokaragosi au kashetani hivi.

Lakini si wakulaumu. Habari ya kujichubua ipo duniani pote. Wazungu walifanikiwa kuteka akili za watu kuwa weupe ndiyo urembo. Nchi kama Korea, India, na nchi nyingine za Asia wanajichubua WaCongo na Watu wa Mbeya cha mtoto. Mafuta ya kujichubua ya Fair and Lovely yalianzia huko India. Jamaa imani yao kuwa kuwa mweupe ni urembo ni kali sana.
Sasa basi, ni nini kinasababisha watu kuwa weusi? Ni kemikali inayoitwa melanin. Hii hutengenezwa na ngozi ili kujikinga na mionzi mikali ya jua. Ni kemikali muhimu sana. Sasa hii hutengenezwa kwa wingi mtu anapochomwa na jua kali.

Sasa tuje huko Mbeya. Watu huwa wana dhana potofu kuwa baridi la Mbeya na mikoa mingine ya nyanda za juu kusini ndiyo husababisha weusi. Si kweli hata kidogo. Weusi ule unasababishwa na jua kali linalowachoma. Sehemu hizi zipo umbali kama wa wastani wa kilomita moja na nusu kutoka usawa wa bahari. Maana yake mtu wa sehemu kama Dar ana layer kubwa zaidi ya hewa inayopunguza nguvu za mionzi na kulinda ngozi yake kuliko yule wa sehemu kama Mbeya au Iringa.

Jambo jingine ni kuwa unyevunyevu(humidity) kwenye hewa kwenye mikoa hii ni mdogo kuliko sehemu kama Dar, Tanga nk. Unyevunyevu husaidia kupunguza ukali wa mionzi.

Utaona kuwa mtu wa nyanda za juu jua linampiga sana kuliko watu wa pwani. Na wengi wakienda pwani utaona ule weusi wao mzito unaanza kupungua.

Sasa basi, kwa vile tatizo ni jua kali(kama kuwa na weusi wa mkaa ni tatizo)basi hata solution iwe kuzuia kupigwa na jua kali. Moja ya njia nzuri ya kufanya hivyo ni kutumia mafuta, lotion na cream zinazosaidia kupunguza madhara ya miale ya jua kwenye ngozi.
Utaona madukani lotions zimeandikwa SPF-yaani sun protection factor- unakuta kuna za SPF-30. Ambayo inazuia zaidi ya 90% percent ya mionzi. Na zingine za juu kama SPF 40, 50 na kuendelea.

Nashauri watu wa Mbeya, Iringa, Njombe nk mnaojichubua na kuwa kama vishetani, mtumie hizi lotion, zitasaidia kwa kiasi kuweka ngozi zenu sawa.
..."kuwa kama mashetani"... hapo kusema kweli mkuu umebonyeza sana na unataka kutushikia akili!

Nani alikwambia shetani huvaa sura mbovu?

Shetani ni pisi kali vibaya, ukimuona anavutia sana na lazima ufunge naye mkataba kwa hadaa ya uzuri wa sura yake.

Shetani angelikuwa mbaya mbaya kwa mfano wa sura za wanawake wachubuzi, watu wangelimkwepa.

Kiuhalisia anavutia sana, ndiyo maana watu wanajiswenka wazima wazima bila ya kugeuka nyuma.
 
Tatizo wanatumia mikorogo ya bei rahisi sio hao tu hata huku Dar unakuta mdada amechubuka uso tu mwili mweusiiiiiii au ukimuangalia miguu waweza kukimbia ilivyo meusi na imekomaa,

Nawashauri kama wanaupenda weupe watumie vipodozi vya bei ghali wanakua weupe mwili wote bila sugu na madoa doa.
 
Bila kuwasahau wanawake wa kihaya [emoji1373]
 
Tatizo wanatumia mikorogo ya bei rahisi sio hao tu hata huku Dar unakuta mdada amechubuka uso tu mwili mweusiiiiiii au ukimuangalia miguu waweza kukimbia ilivyo meusi na imekomaa,

Nawashauri kama wanaupenda weupe watumie vipodozi vya bei ghali wanakua weupe mwili wote bila sugu na madoa doa.
Hao ndio waanzilishi wa Mbagala Rangitatu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu ya bahari. Miji kama Dar au Tanga, na hata Mwanza inakuwa na unyevu hewani mwingi kuliko sehemu kama Mbeya na Iringa. Na jua la Mbeya na Iringa huwa kali kwa sababu kuna kama kilomita moja na nusu ya atmophere(angahewa) hawana kwa kuwa kwao juu.

Ukiwa juu mionzi inakuwa mikali zaidi. Ndiyo maana unaonaga mapilot wakivaa ile miwani myeusi. Siyo urembo, ni kukinga macho na mionzi.

Sababu hizi mbili zinafanya jua huko kuwa kali sana. Kuna joto na kuna jua la kuchoma.
Umeshauri vizuri sana.
 
Sasa wanapaka mafuta usoni,viganja vinasahaulika.
 
Wakorea na ule weupe wajichubue ili wagundue nn?
Wakorea wachina wanaongeza rangi usiwe mbishi, nimefanya nao kazi hao watu hawapatani na hata kidoa cheusi, wanatumia mkorogo, ukitaka kuamini tumia vipodozi wanavyotumia ndani ya muda mfupi unaanza kuwa kama unachungulia dirishanii
 
Waarabu coco,watu wa tanga na pwani nao utakuta mweupe ila anaongezea na mkorogo Noma sana,unakutana na mtu shavu limeiva hatar na lile jua la Daslam unamuonea huruma wengine wanajiamulia kuvaa ninja tu
 
Waarabu coco,watu wa tanga na pwani nao utakuta mweupe ila anaongezea na mkorogo Noma sana,unakutana na mtu shavu limeiva hatar na lile jua la Daslam unamuonea huruma wengine wanajiamulia kuvaa ninja tu
Huwa wananuka balaa sawa na kuku wa kizungu, kwangu mimi Ke awe mzuri wa asili huwa nadata sana naye, ila hata awe mzuri bandia zaidi ya ndege tausi ila ikiwa K yake haina vigezo thabiti na hana tabia njema napiga chini fasta.
 
Sipend wanawake wanaojichubua hakika, Bora uwe mweusi kama ng'ombe mweusi kuliko kujichubua, ila hao weusi wanajoto sana wakat was kula Ile sakrament takatifu
mwanamke mweusi ni mtamu sana aisee, nawakubali sana wanawake ambao wameamua kubaki na rangi zao , ukweli huku kusini wanawake wanajichibua ukijumlisha na maisha magumu vasi wanaonekana kama nyoka, halafu nikimwona demu kajichubua huwa nahisi ana UTI na STds
 
Tatizo wanatumia mikorogo ya bei rahisi sio hao tu hata huku Dar unakuta mdada amechubuka uso tu mwili mweusiiiiiii au ukimuangalia miguu waweza kukimbia ilivyo meusi na imekomaa,

Nawashauri kama wanaupenda weupe watumie vipodozi vya bei ghali wanakua weupe mwili wote bila sugu na madoa doa.
Watakua wamehamia toka nyanda za juu.
 
Back
Top Bottom