GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
tena vigogo kweli maana havifungiwagi wala kupewa onyo. Vinaoperate kama kawaida
Mimi wamekuwa wakinitumia msgs sanaaBila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
View attachment 3151176
Andika namba yoyote kisha piga, itapokelewa na hata jina utalijua.Bila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
View attachment 3151176
Kama wewe ni mtumishi wa umma mtuhumiwa #1 ni HR.Bila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
View attachment 3151176
Ndo maana wanaforce kupiga wakijua kuna stream ya kupata ela ya rejeshoKuna mmoja wa wafanyakazi wa izo Taasisi alinambia wana connection na utumishi so Taarifa zako wanazipata kule nadhani wanatoa hela kidgo kupata taarifa za watumishi
Ni UHAKIKA WALA SIYO TETESI.Kuna tetesi km hii nishaipata. Manispaa wanashiriki pia
Wanadai kwa fujo balaa
Naskia wanatuma sms kwa contact list yako nzima
Mkuu hapo Flexicash ndo walionipigia na kunitumia msg kadhaa.View attachment 3153019
Screen inachafuka meseji zao tu.
Kama unallaa Guest House na Lodge ambazo zinaandika "vyumba vipo" jua ndipo wamepata namba zakoBila shaka mko vyema,
Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.
Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.
Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?
Kwanini wapige direct kwangu?
Tuwe makini wakuu
View attachment 3151176