Watu wa MicroFinance wanaopiga simu kutafuta wateja, wanatoa wapi namba?

Watu wa MicroFinance wanaopiga simu kutafuta wateja, wanatoa wapi namba?

tena vigogo kweli maana havifungiwagi wala kupewa onyo. Vinaoperate kama kawaida
Wengi ni wafanyakazi wa MoF, BoT na NMB, sasa Regulators wenyewe ndiyo The Regulated, unadhani hapo kuna jambo tena mzee zaidi ya uhuni tu ? 🤣🤣​
 
Aha hii inanikumbusha the Wolf of Wall Street. The only regret you'll have, is you Didn't buy More.
 
Bila shaka mko vyema,

Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.

Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.

Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?

Kwanini wapige direct kwangu?

Tuwe makini wakuu

View attachment 3151176
Mimi wamekuwa wakinitumia msgs sanaa
 
Bila shaka mko vyema,

Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.

Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.

Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?

Kwanini wapige direct kwangu?

Tuwe makini wakuu

View attachment 3151176
Andika namba yoyote kisha piga, itapokelewa na hata jina utalijua.
 
Kuna mmoja wa wafanyakazi wa izo Taasisi alinambia wana connection na utumishi so Taarifa zako wanazipata kule nadhani wanatoa hela kidgo kupata taarifa za watumishi
 
Bila shaka mko vyema,

Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.

Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.

Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?

Kwanini wapige direct kwangu?

Tuwe makini wakuu

View attachment 3151176
Kama wewe ni mtumishi wa umma mtuhumiwa #1 ni HR.
 
Kuna mmoja wa wafanyakazi wa izo Taasisi alinambia wana connection na utumishi so Taarifa zako wanazipata kule nadhani wanatoa hela kidgo kupata taarifa za watumishi
Ndo maana wanaforce kupiga wakijua kuna stream ya kupata ela ya rejesho
 
Wanadai kwa fujo balaa
Naskia wanatuma sms kwa contact list yako nzima
Screenshot_20241115-153706_Messages~2.jpg

Screen inachafuka meseji zao tu.
 
Bila shaka mko vyema,

Nimezoea kuona matangazo ya Microfinance mbalimbali online lakini sijawahi kuwa na app yoyote ya hayo mambo.

Cha kushangaza leo nimepigiwa simu na namba(partially nitaattach screenshot) akajitambulisha anatokea kwenye Microfinance(akataja jina) na kunijulisha wanakopesha mpaka bei gani.
Nimemjibu simple tu, sitaki mikopo.

Baada ya kukata simu nimesearch jina la hiyo microfinance lipo. Najiuliza, wametoa wapi namba?

Kwanini wapige direct kwangu?

Tuwe makini wakuu

View attachment 3151176
Kama unallaa Guest House na Lodge ambazo zinaandika "vyumba vipo" jua ndipo wamepata namba zako
 
Back
Top Bottom