matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Mwanadamu asili yake ni udongo.
Kuna connection kubwa sana kati ya udongo na mwanadamu. Hata neno Adam ambalo limeleta neno mwanadamu linatokana na neno "Adamah" la Kiebrania ambalo humaanisha udongo.
Katika kutuumba Mungu aliweka vitu katika viganja vya miguu na mikono ambayo vikikutana na Ardhi vina-trigger karibu kila kitu katika mwili wako na kukirudisha katika utendakazi wake sahihi.
Nimechelewa kujua leo kuna watu wanakuwa mamilionea kwa kufungua vituo vya tiba ambao kufanya massage za viganja vya mikono na miguu na watu wanapona visukari, figo, moyo, mapafu. Hadi hii ingefanywa vyema kama ungepiga pushup kwa viganja vikiwa wazi. Ungetembea peku muda mrefu kila siku.
Pia kwa sababu tuliumbwa uchi. Kuna connection Kubwa kati ya wewe kuwa uchi nje ya Nyumba yako ukiangalia anga. Kwa sababu Nyumba sio asili yetu, pata nafasi Mara mojamoja toka nje ya Nyumba yako uchi wa mnyama ukiwa peku, angalia anga, shika vitu vya asili utashangaa mambo yako yatakavyokunyookea. Hata kama ndoa yako nilikuwa shidani shida itaondoka.
Mtu anayeingia kazini akiwa peku, nenda shopping Kariakoo peku, hutajuta.
Wamegundua siri hii wachache, wajinga wanasrma ni uchawi.
Wako mapadri
Wako wachungaji, TB Joshua
Wako wasanii, Mpoto
Wako wengi anza sasa sio ushamba ni akili
Kuna connection kubwa sana kati ya udongo na mwanadamu. Hata neno Adam ambalo limeleta neno mwanadamu linatokana na neno "Adamah" la Kiebrania ambalo humaanisha udongo.
Katika kutuumba Mungu aliweka vitu katika viganja vya miguu na mikono ambayo vikikutana na Ardhi vina-trigger karibu kila kitu katika mwili wako na kukirudisha katika utendakazi wake sahihi.
Nimechelewa kujua leo kuna watu wanakuwa mamilionea kwa kufungua vituo vya tiba ambao kufanya massage za viganja vya mikono na miguu na watu wanapona visukari, figo, moyo, mapafu. Hadi hii ingefanywa vyema kama ungepiga pushup kwa viganja vikiwa wazi. Ungetembea peku muda mrefu kila siku.
Pia kwa sababu tuliumbwa uchi. Kuna connection Kubwa kati ya wewe kuwa uchi nje ya Nyumba yako ukiangalia anga. Kwa sababu Nyumba sio asili yetu, pata nafasi Mara mojamoja toka nje ya Nyumba yako uchi wa mnyama ukiwa peku, angalia anga, shika vitu vya asili utashangaa mambo yako yatakavyokunyookea. Hata kama ndoa yako nilikuwa shidani shida itaondoka.
Mtu anayeingia kazini akiwa peku, nenda shopping Kariakoo peku, hutajuta.
Wamegundua siri hii wachache, wajinga wanasrma ni uchawi.
Wako mapadri
Wako wachungaji, TB Joshua
Wako wasanii, Mpoto
Wako wengi anza sasa sio ushamba ni akili