Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndiyo akili.Kuanzia sasa mimi na viatu baasiii
Nawashauri wana JF msifanye haya ya kutoka uchi nje ya nyumba zenu. Juzi usiku tu baada ya kuoga nilitoka nje (uwani) kupunga upepo kabla ya kurudi ndani kulala, kumbe kulikuwa na kijana wa jirani aliyepanda ukuta wa nyumba yangu kuja kuchukua chupi ya mpangaji wao iliyodondokea uwani kwangu.Mwanadamu asili yake ni udongo.
Kuna connection kubwa sana kati ya udongo na mwanadamu. Hata neno Adam ambalo limeleta neno mwanadamu linatokana na neno "Adamah" la Kiebrania ambalo humaanisha udongo.
Katika kutuumba Mungu aliweka vitu katika viganja vya miguu na mikono ambayo vikikutana na Ardhi vina-trigger karibu kila kitu katika mwili wako na kukirudisha katika utendakazi wake sahihi.
Nimechelewa kujua leo kuna watu wanakuwa mamilionea kwa kufungua vituo vya tiba ambao kufanya massage za viganja vya mikono na miguu na watu wanapona visukari, figo, moyo, mapafu. Hadi hii ingefanywa vyema kama ungepiga pushup kwa viganja vikiwa wazi. Ungetembea peku muda mrefu kila siku.
Pia kwa sababu tuliumbwa uchi. Kuna connection Kubwa kati ya wewe kuwa uchi nje ya Nyumba yako ukiangalia anga. Kwa sababu Nyumba sio asili yetu, pata nafasi Mara mojamoja toka nje ya Nyumba yako uchi wa mnyama ukiwa peku, angalia anga, shika vitu vya asili utashangaa mambo yako yatakavyokunyookea. Hata kama ndoa yako nilikuwa shidani shida itaondoka.
Mtu anayeingia kazini akiwa peku, nenda shopping Kariakoo peku, hutajuta.
Wamegundua siri hii wachache, wajinga wanasrma ni uchawi.
Wako mapadri
Wako wachungaji, TB Joshua
Wako wasanii, Mpoto
Wako wengi anza sasa sio ushamba ni akili
Kwani Mrisho (Mpoto) wewe si ni adui wa viatu....toka lini ukapenda kuvaa viatu wewe?Kuanzia sasa mimi na viatu baasiii
Sio kweli. Sio kila Ardhi inaminyoo. Vinginevyo kila mtanzania anaminyoo na tulitakiwa tuwe tumeshakufa. Karibu kila tunachokula na kunywa kinauhusiano na Ardhi.Kuna minyoo inapenya kwenye ngozi,pia tetenus itakuhusu
Mkuu hiyo Ajali tu. Sio general formulae.Nawashauri wana JF msifanye haya ya kutoka uchi nje ya nyumba zenu. Juzi usiku tu baada ya kuoga nilitoka nje (uwani) kupunga upepo kabla ya kurudi ndani kulala, kumbe kulikuwa na kijana wa jirani aliyepanda ukuta wa nyumba yangu kuja kuchukua chupi ya mpangaji wao iliyodondokea uwani kwangu. Kwa kuwa nilikuwa nimelala huku nikipunga upepo, yule dogo aliponiona niko uchi huku sina mwelekeo wa kujitambua akapaniki na kwenda kuita watu kuwa nimefariki. Nimeshangaa naamshwa na watu kibao huku nikiwa uchi. Hapa nina hasira na huyu dogo kunikuta uchi na kunitangazia mtaani kuwa nimefariki na kuna wengine wanasema mimi nilikuwa naroga eti nilikuwa najiaandaa kuruka usiku kwenda kuroga. Nataka niwashitaki hawa watu.
Kuna yule father mapekupeku wa Morogoro huwa anazurura peku kila mdaMwanadamu asili yake ni udongo.
Kuna connection kubwa sana kati ya udongo na mwanadamu. Hata neno Adam ambalo limeleta neno mwanadamu linatokana na neno "Adamah" la Kiebrania ambalo humaanisha udongo.
Katika kutuumba Mungu aliweka vitu katika viganja vya miguu na mikono ambayo vikikutana na Ardhi vina-trigger karibu kila kitu katika mwili wako na kukirudisha katika utendakazi wake sahihi.
Nimechelewa kujua leo kuna watu wanakuwa mamilionea kwa kufungua vituo vya tiba ambao kufanya massage za viganja vya mikono na miguu na watu wanapona visukari, figo, moyo, mapafu. Hadi hii ingefanywa vyema kama ungepiga pushup kwa viganja vikiwa wazi. Ungetembea peku muda mrefu kila siku.
Pia kwa sababu tuliumbwa uchi. Kuna connection Kubwa kati ya wewe kuwa uchi nje ya Nyumba yako ukiangalia anga. Kwa sababu Nyumba sio asili yetu, pata nafasi Mara mojamoja toka nje ya Nyumba yako uchi wa mnyama ukiwa peku, angalia anga, shika vitu vya asili utashangaa mambo yako yatakavyokunyookea. Hata kama ndoa yako nilikuwa shidani shida itaondoka.
Mtu anayeingia kazini akiwa peku, nenda shopping Kariakoo peku, hutajuta.
Wamegundua siri hii wachache, wajinga wanasrma ni uchawi.
Wako mapadri
Wako wachungaji, TB Joshua
Wako wasanii, Mpoto
Wako wengi anza sasa sio ushamba ni akili
Kule mindset huwa zimekaa kizinzi alafu distraction nyingi.Sasa mbona tunaoga Beach tukiwa uchi na peku lakini hatuwi mamilionea au hatuitwi kazini?
Mkuu ukiambiwa alafu sio kweli kuna shida.hapa kwetu bongo nyoso ukitembea peku yani lazima utaambiwa unatimiza masharti ya mganga wa kienyeji
Asante mkuu.Sikuamini macho yangu nilichokiona New Zealand ila nilivyokuja ku practice bongo nikaambulia nyungunyungu, mbigili ,kichocho kung'oa kucha nk kwa bongo nashauri buti la jeje livuliwe kitandani tu maana hata sebuleni kujikwaa kwa tiles nje nje