Tumia muda mwingi ikiwa unaikanyaga Ardhi mkuu, hutajuta.
Unaona hata Mungu alimwambia Musa na Yoshua nyakati tofauti wavue viatu alikuwa anazungumza nao mambo ya msingi.
Hata akili yako itachaji zaidi maana kuna creational connection kati yako na ardhi