Watu wa mijini wengi ni wagonjwa kwa sababu ya kuvaa viatu

Ngoja nifanye utafiti,sijakupuuza
Wengi huwa wanaelewa wakati hii Elimu imeadvance na tumehamia kwenye maarifa Mapya.

Storehouse ya Mungu ktk nature ni inexhaustible. Kila siku jambo jpya. Tomaso atakuwa anakula vumbi kila siku.

Kuna watu wanalipia haya
 
Vipi kuhusu zamani wanafunzi walivyokuwa wanasoma shule peku mbona hazikuwa zinachaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…