Watu wa mikoa ya Arusha,Moshi,Geita,Mwanza na Mara 23/9/2023 Nasisi tuandamame.

Watu wa mikoa ya Arusha,Moshi,Geita,Mwanza na Mara 23/9/2023 Nasisi tuandamame.

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Tuungane Kwa Ari na Nia Moja kuungana na wenzetu waliopo Dar Hii tusiawaachie watu wa Dar pekee yake.
Watu wa mbeya hii inawahusu sana.

MAANDAMANO NI HAKI YETU KIKATIBA.
 
Kaandamane sebuleni kwa baba yako sisi tunaandaa mashamba kulima kama huna shamba shauri yako.
Mkishageukiwa ninyi na kuanza kutekwa na kuuawa, hayo mashamba yataandaliwa na mizimu yenu

Unapuuzia issue ya usalama kwa sababu wanaowateka na kuwaua wananchi hawajakugusa wewe au familia yako.

Kila mtu atafikiwa, ni suala la muda tu
 
Kimsingi maandamano yameshapoteza sababu zake...

Kama lengo ilikua ni kupinga mauaji ya mzee Kibao, hatukupaswa kusubiri...

Haya ya tarehe 23 ni ya kisiasa...

Na vipi kuhusu slogan ni ileile?
 
Mnapeleka vurugu kwenye miji ya watu ila kwenu Kilimanjaro hamtaki.
 
Back
Top Bottom