mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kuna dada wa kazi alienda huko daslam baada ya mwezi akarudi baada ya kupata msiba,siku anarudi ngozi kama mzungu.alikaa kuomboleza kwa wiki mblIi akafubaa tena.
Wenzetuhuko daslam maji yenu ya kuoga munawekaga nini
Nimemtaja huyo binti lakini mifano ninayo mingi tu
Wenzetuhuko daslam maji yenu ya kuoga munawekaga nini
Nimemtaja huyo binti lakini mifano ninayo mingi tu