Mkuu ni Hali ya hewa ya joto, mm nimezaliwa na kukulia Dar unayoyasema ni kweli.
Ipo hivi Dar jua ni Kali Sana, na hivyo husababisha joto na kupitia joto mwili hutoa jasho Sana kiasi ambacho kama utakuwa unaoga mara kwa mara lazma ngozi itakate.
Kwa Dar ukipaka mafuta au lotion mwilini lazma iyeyuke mapema na hivyo husaidia mwili kutoa uchafu kupitia jasho tofauti na mikoani ambako ni baridi, Kule ukipaka lotion ni ngumu kuyeyuka sababi ya baridi.
Ila watu wa Dar Wana maisha magumu,wengi hawali wakashiba tofauti na wa mikoani.