Watu wa mikoani (Vijijini), badilikeni too much!

Mbona wengine hatuwaombi pesa zenu...sio wote jamani
 
Safari yako tunaomba irudiwe..ila mkoan kwetu ili uone ustarabu wa watu wa huku..
 
Hutosikia mtu wa Tabora akilalamika hivi, hiyo hela utaitoa bila kuombwa, wanajua kupokea mgeni hawahitaji hela yako wala zawadi labda wewe ndio uwafikirie uwape.
 
Acha uchoyo mzee yaani umekaa miaka miwili hujaenda mkoa unashindwa kuweka hata laki 2 ya kusafisha jina angalau umpe mzee heshima??yani hata dumu la Lita 20 la pombe za bush halifiki elfu 15 pia unashindwa??Tatizo lako uchoyo hayo in ya kawaida mikoani.
 
Soma vizuri mzee nimechoma laki 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…