MKAKA HALISI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 631
- 1,263
Sidhani kama no, ni tatizo labda kwasababu wewe ni mfanya kazi selikalini lkn kwa sisi wajasiliamali no, cm au kupigiwa cm ni anytime tena tunatamani wote muwe na no zetu ili muda wowote ukihitaji huduma au bidhaa tupigie maana shida yetu ni pesa yako huwezi kuta mfanyabiashara kafunga cm