Watu wa Mitandaoni walioambiwa wajitokeze kutoa taarifa za kuisaidia Serikali, wakishajitokeza waripoti kwa nani?

Uchunguzi wowote unaohusu conspiracy ya kifo cha magufuli ni ya kuiacha na kama akipatikana muuaji basi apewe donge nono kwa kazi nzuri aliyoifanya

Kama kweli mnakubaliana na huyu raisi samia kua ni raisi bora bila shaka mtakubaliana na mimi kua bila huyo assassinator huu ubora wake usingeonekana.
 
Kwa nchi za kiafrika sio rahisi sana kufanya hivyo kwani ni kama unacheza karata tatu lkn kwa beberu aah unakunja kwanza mshiko wako ndio unawapa umbea nusu ili nusu wangaike wenyewe kutafuta na unauhakika wa kuishi tena Sio afrika hawatabiriki kabisaaa.
 
Dah!!!
 
Aloandika veronica ni kama nyimbo za bongo flavor. Bila shaka huu ndo mpango ulioletwa na watu wa kitengo kupambana na kigogo.
Wamefeli kigogo ni machine kubwa sana
 
PM me nitakuelekeza pa kuileta Kesho asubuhi
 
Habari maelezo au kituo cha karibu cha polisi
 
Unaripoti Police pale ndo utapewa further information
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…