mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ina maana Samia mwenyewe alikuwa hajui kuwa magufuli kafa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu Mimi na Magufuli kitu kimoja
Bandari ya Bwagamoyo ijengwe
Uchunguzi wowote unaohusu conspiracy ya kifo cha magufuli ni ya kuiacha na kama akipatikana muuaji basi apewe donge nono kwa kazi nzuri aliyoifanyaJina la Veronica France sio geni miongoni mwa watu hasa wanaotumia mtandao wa facebook
Amekua akishambulia wanasiasa hasa baada ya kifo cha Hayati John Joseph Pombe Magufuli.
Account imekuwa ikiwashambulia January Makamba ,Nape Nnauye,Ridhwan Kikwete,Mh Jakaya Kikwete,Mange Kimambi kuwa ndo wanaoendesha account ya Kigogo.
Hii hapa story yake aloweka mtandaoni ambayo huenda Mh.Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameona aiongelee.
KIFO CHA MAGUFULI KILIPANGWA!!
Sindano za sumu alipigwa tano maana alipigwa moja akapoteza FAHAMU akapigwa nne mfululizo baada ya masaa 9 akazinduka akawa amechoka hadi kumleta mzena alikuwa taabani hata kuongea hawezi ,aliuliwa kinyama sana yani.
Na hizi sindano za sumu zilipitia Kenya kuingia Tanzania mwezi mmoja baada ya kuanza ziara kutoka Chato kwenda kagera kule sekondari ya ihungo, timu kigogo2014 walijua kila kitu,pia alipuliziwa hewa chafu akiwa Morogoro anazindua kiwanda cha Rostam Azizi pale.
Dkt Janabi ndiye aliyefanya kazi hii kitaalam,mkakati wa kifo chake ulikuwa initiated na team mtandao mzima kuanzia Jakaya Kikwete,Bernad Membe,Rostam Aziz,Mark Mwandosya,lakin vijana wao January Makamba,Ridhiwan Kikwete,Nape Nauye ndio waliokuwa wanavujisha siri hizi kwenda kwa team ya Maria Sarungi,Fatuma Karume,Zitto Kabwe,Tundu Lissu na rejea,hata kabla ya serikali kutangaza kifo cha Magufuli,watu hawa hawa walianza kuhoji nani anayeendesha nchi...
Criminal Investigation report.
Muuwaji😀kt Hussein Janabi.
Organised criminal clue: Jakaya Kikwete,Bernad Membe,Rostam Aziz+wana mtandao.
Mnaweza kutufanya sasa sisi ni wapumbavu,lakin ipo siku isiyo na jina watakuja viongozi wenye akili na wataweka haya yote hadharani..Sisi watanzania machozi yetu hayataenda bure...
By Veronica France🇹🇿
Kwa nchi za kiafrika sio rahisi sana kufanya hivyo kwani ni kama unacheza karata tatu lkn kwa beberu aah unakunja kwanza mshiko wako ndio unawapa umbea nusu ili nusu wangaike wenyewe kutafuta na unauhakika wa kuishi tena Sio afrika hawatabiriki kabisaaa.Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.
Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .
Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Dah!!!Uchunguzi wowote unaohusu conspiracy ya kifo cha magufuli ni ya kuiacha na kama akipatikana muuaji basi apewe donge nono kwa kazi nzuri aliyoifanya
Kama kweli mnakubaliana na huyu raisi samia kua ni raisi bora bila shaka mtakubaliana na mimi kua bila huyo assassinator huu ubora wake usingeonekana.
Siku hizi kaacha kijirekodi videos? Atoke hadharani aongee asikike.Mwanaharakati Huru anaangaika sana.
Hahahaa Mbuyu umeanguka naye kapotea mazima,na yeye ni keyboard warrior now.Siku hizi kaacha kijirekodi videos? Atoke hadharani aongee asikike.
Habari maelezo au kituo cha karibu cha polisiKatika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.
Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .
Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
jibu na maswali yaliyoambatana na hoja , halafu mimi siyo mtu wa mitandao , nimeuliza tu kama Mh Rais alivyosemaPM me nitakuelekeza pa kuileta Kesho asubuhi
Toka Lin musiba hana korodan mkuuAkina veronika hawana korodani mkuu.
jibu na maswali yaliyoambatana na hoja , halafu mimi siyo mtu wa mitandao , nimeuliza tu kama Mh Rais alivyosemaPM me nitakuelekeza pa kuileta Kesho asubuhi
ChangemaHakuna kupumuwa 😂😂😂
😂 😂 😂 😂Toka Lin musiba hana korodan mkuu
Uzi tayar
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.
Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .
Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Wala sikumaanisha ulivomaanisha wewe.Kwani hujaelewa hoja ya mtoa mada? Hii tabia ya kukariri eti uzi mreeefu ndo una contain hoja ya kueleweka.
Huu ni musiba kwa musiba mulangaMlengwa ni musiba a k a Veronica France