Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Copenhagen naomba nije chemba kwako....!wale wenye Noah nyeusi waende na mbwembwe zao huko vichakani mkurunga wakawateke hawa mashetan walioua kikatili ndugu zetu polisi.
Wachapwe Tu. Hakuna Namna - Ni JINO KWA JINO.....Kufuatia kitendo cha jeshi la polisi kukumbwa na mfululizo wa mauji ya walinda amani wetu kwa uweledi wa hali ya juu kabisa wakazi wa barabara kati ya kibiti na Mkuranga wamechezea fimbo mchana kweupe.. na kulazimishwa kulala saa kumi na moja jioni
Wakazi hao na watanzania kiujumla hatujatangaziwa kwa nini mauaji haya yaendelee either kwa sababu za kiusalama au vinginevyo ila kinachoshangaza ni hii strategy ya kisasa kabisa yakuchezesha raia fimbo
Kwa mujibu wa shuhuda wa macho wanasema waliokua wanapigwa ni akina mama wenye watoto,vijana,na yeyote yule ambae alikua anakutwa na polisi etc, sababu iliyosababisha kukimbia vijiji kwa muda na walipohoji hawakupata majibu
Katika vipigo hivyo heavy inasemekana wengine imewalazumu kujiuguza maumivu ma hospitalini au ku survive na panadol(pain killers)
Kitu ambacho labda tunapaswa kujiuliza kwa mbinu hii je hawa raia wataleta tena ushirikiano wakutoa taarifa za siri kwa polisi? Perception yao itakuaje kwa jeshi la polisi?wataona utofauti wowote kati ya jeshi la polisi na hao wanajambazi wanaosakwa?au mbinu hii ya ku sideline moja kwa moja raia katika mapambano haya ndio imekua suluhisho pekee?
Ni muda sasa wa jeshi la polisi kufanyiwa reform kwani tumerithi mbinu za kikoloni katika utendaji kazi wake
Sasa Kama raia hataki kuonesha ushirikiano kwa vyombo vya dola acha achapwe tu.Kama polisi anakuja anapiga RAIA asiyekuwa na hatia, ni bora kumsaidia jambazi ampige polisi anayepiga raia.
KAMA HAWAJUI WASEME NINI!!,? ILA WAKITUMIA USHAWISHI WANAWEZA PATA TAARIFA NYINGI IWAPO WANAZO BADALA YA MIKALAMBATITandika viboko mpaka waseme
Kwa kweli mapolisi ni waovu sio wakuhurumiwa kabisaKama polisi anakuja anapiga RAIA asiyekuwa na hatia, ni bora kumsaidia jambazi ampige polisi anayepiga raia.
TPDF - Tanzania people defending force" ungekuwa umeelewa maana hiyo hapo juu usingeniuliza , ila mungu akusamehe si kosa lako kutokwenda shuleLile neno force liliwekwa kwa Maana ipi? Tambua hata jeshi la wananchi linaitwa TPDF, unajua hiyo F imesimama badala ya neno lipi?