Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

Sidhani kama huu ni muda wakutumia fimbo kwa adui anayetumia bunduki, another failure kwa TISS yetu, ni kazi yao kuwanotify polisi wetu... Security threat ya hapo ni level gani hivyo polisi wajiandae physical na mentally kupambana.
 
Chapa chapa BAKORAAAA! nakumbuka mbaali enzi hizo mtu akigoma tu, dawa ni bakoraaa. Hamna namna
 
Haya mamneno yako ndiombinu mbadala??.

Tuliza akili weka mbinu mbadala mkuu, kama huna shut the bowl up please.
Bashite Isome vizuri hiyo post, au rudi darasani ukajifunze topic ya " ufahamu" halafu uje kuchangia
 
Hata ningekuwa mimi ningewatandika fimbo. Chukulia mfano lile tukio la mauaji ya watu wa maliasili, maiti zipo chini halafu wao wanakimbilia kugawana mkaa na muuaji wapo naye wanamuangalia tu.
 
Mleta maada huna akil,, kumbuka majambazi yalipoua wafanyakaz wa maliasili wananchi waljkimbilia kubeba mkaa wakat watanzania wenzetu wamekufa!!leo unakuja na pumba zako kutetea msenge wewe. Huna haya au wewe gaid nn
 
Daah kwahiyo wanamalizia Hasira zao kwa raia wema?

Sasa hapo ni kuongeza chuki na raia wema hawatawasaidia polisi kama wataendelea na uonevu huo, badala yake watawasaidia majambazi!
raia wema wako wap wakati hao ndio waljkimbilia kubeba mkaa wakat watanzania wenzetu wamekufa. Achen UK.. Ma
 
Tena liperekwe jeshi la JWTZ wanatakiwa wale bakora za kutosha.
 
"Adui wa adui yako ni rafiki yako"

Wakielewa maana ya msemo huo tu hawatapiga raia wasio na hatia tena!
 
*CCM INAWAKUMBUSHA WANANCHI WAKE KUMEZA PANADOL KABLA YA KULALA KILA SIKU*

Watu wana maneno [emoji23]
 
Hata ningekuwa mimi ningewatandika fimbo. Chukulia mfano lile tukio la mauaji ya watu wa maliasili, maiti zipo chini halafu wao wanakimbilia kugawana mkaa na muuaji wapo naye wanamuangalia tu.
Kuna watanzania ni wapumbavu sana jamani.

No wonder raisi haoni faida kuwasikiliza malalamiko yao, mtu kauwawa hapo mnachukia mkaa kila mtu anatokomea nao nyumbani kwake,halafu mnaulizwa mnasema hamumjui muuaji!!!!!
 
Kufuatia kitendo cha jeshi la polisi kukumbwa na mfululizo wa mauji ya walinda amani wetu kwa uweledi wa hali ya juu kabisa wakazi wa barabara kati ya kibiti na Mkuranga wamechezea fimbo mchana kweupe.. na kulazimishwa kulala saa kumi na moja jioni

Wakazi hao na watanzania kiujumla hatujatangaziwa kwa nini mauaji haya yaendelee either kwa sababu za kiusalama au vinginevyo ila kinachoshangaza ni hii strategy ya kisasa kabisa yakuchezesha raia fimbo
Kwa mujibu wa shuhuda wa macho wanasema waliokua wanapigwa ni akina mama wenye watoto,vijana,na yeyote yule ambae alikua anakutwa na polisi etc, sababu iliyosababisha kukimbia vijiji kwa muda na walipohoji hawakupata majibu
Katika vipigo hivyo heavy inasemekana wengine imewalazumu kujiuguza maumivu ma hospitalini au ku survive na panadol(pain killers)
Kitu ambacho labda tunapaswa kujiuliza kwa mbinu hii je hawa raia wataleta tena ushirikiano wakutoa taarifa za siri kwa polisi? Perception yao itakuaje kwa jeshi la polisi?wataona utofauti wowote kati ya jeshi la polisi na hao wanajambazi wanaosakwa?au mbinu hii ya ku sideline moja kwa moja raia katika mapambano haya ndio imekua suluhisho pekee?

Ni muda sasa wa jeshi la polisi kufanyiwa reform kwani tumerithi mbinu za kikoloni katika utendaji kazi wake

Police wakiwaadhibu Majambazi mnalalamika haki za Binadamu na hao hao Police wakiuliwa na Majambazi mnawalaani sasa nyie Waswahili mnataka nini?
 
Mimi na wasi wasi kuwa hao majambazi hawaishi Dar. Maana watu wa mkuranga hawana ujasili huo wa kuua polisi
 
Kila kitu kinaanza kama Uhongo hata zile pesa za Escrow mlisema ni Uhongo na ya Lugumi mlisema ni Uhongo ni kawaida ya watanzania kukataa ukweli

Oyoooooo

Haujaelewa nilichoandika basi niache, usinijazie maneno.
 
Back
Top Bottom