Tetesi: Watu wa Mkuranga wanalalamika kupigwa na Polisi

TPDF - Tanzania people defending force" ungekuwa umeelewa maana hiyo hapo juu usingeniuliza , ila mungu akusamehe si kosa lako kutokwenda shule
Mkuu kirefu cha TPDF ni Tanzania's People Defence Force au Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
 
Wapigwe tu maana hakuna namna tena. Anayekutwa na mfupa ndiyo Kala nyama.
 
Rais - rahisi
Waarifu - wahalifu
 
TPDF - Tanzania people defending force" ungekuwa umeelewa maana hiyo hapo juu usingeniuliza , ila mungu akusamehe si kosa lako kutokwenda shule
***
haupo sahihi..!,na hiyo shule ulioenda ni bure kabisa.
•Serekali ilipaswa kupeleka genius intellegeny kwa wiki 2-3,ili kukolect data and hidden Info's on that issue /
ok let waits..
Using forces huwa na mahala pake....!
 
***
haupo sahihi..!,na hiyo shule ulioenda ni bure kabisa.
•Serekali ilipaswa kupeleka genius intellegeny kwa wiki 2-3,ili kukolect data and hidden Info's on that issue /
ok let waits..
Using forces huwa na mahala pake....!
[emoji109] [emoji109] [emoji109] lakin si icho wanachofanya sasa nikuongeza hofu kwa RAIA
 
Waweke askari wa siri kukaa na Raia na kupata information za majangili ,hii itasaidia sio kuwapiga Raia.
 
Hawajatoa ushirikiano ndo maana wanadundwa. Kumbukeni mhalifu huwa hatoki mbali na tukio na kama wapo watatoka mbali basi mwenyeji lazima awepo. Na haiwezekani wenyeji wasiwajue wahalifu.
 
Hawajatoa ushirikiano ndo maana wanadundwa. Kumbukeni mhalifu huwa hatoki mbali na tukio na kama wapo watatoka mbali basi mwenyeji lazima awepo. Na haiwezekani wenyeji wasiwajue wahalifu.
***
specialist wa aina hii kwa vyovyote sio mkazi wa hapo / possibly ni mtu anayekwenda hapo kwa uovu huo na baadae kuondoka kurudi kwake oystebay..!,jaribu kufikiri kwa kina staili anayotumia huyu lazima atakuwa mbobezi mno./
PIA INGELIKUWA NI VYEMA WANANCHI WA ENEO HILO WAKAFUNDWA HASA JINSI YA KUTOA TAARIFA HARAKA MARA WAMWONAPO MGENI WASIYEMFAKAMU WA AINA YOYOTE ILE.
 
Mh yani tanzania.hii... daily matukio yasiyo na. Weledi kwa watu wenye profesional.... kitengo. Cha upelelezi.,usalama, vyote vmeshindwa shirikiana... kuwatambua waharifu.. hadi wanaanza kuwasumbua wananchi wasiokua na hatia...is not fair. Kwa vyombo vya usalama.... tutumie weledi na profesional zetu kwenye kazi.. na ci kukurupuka.... thanks.
 
Mkuu weka mbinu mbadala hapa tofauti nahiyo ya kuwatisha iliwatoetaarifa za wahalifu.
Wasipo wafichua wahalifu watakuwa wanawasaidia police kilamara, wasisubiri kufundishwa jinsi ya kuisaidia police.
Wawe wazalendo tu hakuna namna.
Huku hawajafa polisi tu .wamekufa wenyeviti wa vitongoji na vijiji.yaaani RAIA wanaishi kwa taharuki kuwaogopa Hawa wauaji.sasa wanachofanya polisi ni kuwapiga wenzao wanaoishi kwa taharuki pia kama wao.watu wamevunjwa mikono,wameporwa Mali zao,simu pesa nk.zimevunjwa meza na samaki ,yamemwagwa maandazi .yaaani mambo taflani
 
hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…