FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Mh.Lubeleje kaifanyia mengi Mpwapwa nimemjua tangu mwaka 2004 miaka kumi na NNE iliyopita akiwa mbunge
Ikiwa ataamua kustaafu kwa hiari yake basi mtu sahihi kukalia nafasi hiyo ni mtoto wenu anaejua shida zenu aliepitia changamoto zote Betty Baharia,damu changa kabisa
Anzeni kumpika ktk siasa,I rafiki wa kila mtu hana ukabila na aliesoma ktk shule zenu
Ikiwa ataamua kustaafu kwa hiari yake basi mtu sahihi kukalia nafasi hiyo ni mtoto wenu anaejua shida zenu aliepitia changamoto zote Betty Baharia,damu changa kabisa
Anzeni kumpika ktk siasa,I rafiki wa kila mtu hana ukabila na aliesoma ktk shule zenu