Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Nimewahi kunywa uji pale Mara dishes,

Kuzuri sana,

Kile kituo Cha matumaini ya vijana,

Vingekuwwpo Kila wilaya Nchi nzima tungekuwa mbali mno,

Palikuwa na walimu wa VIPAJI vingi chini ya mfadhili Toka nje Italy.
 
Marehemu Barongo alijenga nyumba na kuzungushia ukuta ukiwa na mfanano wa meli ya MV. BUkoba kama kumbukumbu ya kumpoteza mke wake katika ajali hiyo mwaka 1996....
Du kweli aise ila siku izi ukipaona, pamechoka mbaya wakati ndo ilikuwa nyumba kali maeneo hayo.
 
Alikuwa anaitwa Mutalagala kama sijakosea alifariki 2007 nyumbani kwake nasikia walikuwa wakiweka vibao kama kapumzika, au hayupo, n.k
Sio kusikia, ndivyo ilivyokuwq, mwamba alikuwa mtata sana. Aliiuwa na cheo kikubwa tu CCM,

Ukikuta kibao kimeandikwa kapumzika hapo itabidi ukae usubiri mpaka aamke.
 
Jamaica Mockers na Mbio za vijiti wametusumbua sana Musoma Tech
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…