Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

Aisee december hii nikiwa njema lazima nije kuwaona home nimewamis washkaj zangu wa iringo, mkendo nimewamis sana
Vijana rudini nyumbani mkasalimie!! Nilikua kila likizo lazima nije Dar,nikirudi najiona mjanja sana ila ulikua utoto,nilikua nakusanya jersey karume 2000 nawaletea wana zawadi...nimeishi mkendo kati,kennedy,kamnyonge..kulikua na mwalimu azimio mkali wa maths nimeshau jina lake enzi zetu kulikua na competition ya tuition..ukija nyasho sikawa,kibandiko,Musoma alikuwepo machela na mwenzake walikua wanaitana mapacha,
 
Vijana rudini nyumbani mkasalimie!! Nilikua kila likizo lazima nije Dar,nikirudi najiona mjanja sana ila ulikua utoto,nilikua nakusanya jersey karume 2000 nawaletea wana zawadi...nimeishi mkendo kati,kennedy,kamnyonge..kulikua na mwalimu azimio mkali wa maths nimeshau jina lake enzi zetu kulikua na competition ya tuition..ukija nyasho sikawa,kibandiko,Musoma alikuwepo machela na mwenzake walikua wanaitana mapacha,
Sio mwalim Tem kweli?
 
Wale wa majita road vibanda umiza ni kwa eddy na bavoni
Wa kibini ilikuwa karifonia kwenda kuangalia xxx usiku😂😂😂
Nyakato kulikuwa na Masha na shebe
Sanane kulikuwa na Maela na korando, baadae akaja Jaji
 
Sehemu bora kabisa musoma kuwahi kutokea ilikuwa diocese ya musoma( kituo cha matumaini ya vijana).

Kilikuwa kituo bora cha michezo na masomo, vyote vilitolewa bure kabisa kilikuwa kisima cha maarifa, kituo hiki cha kanisa romani cathoric baada tu ya kufungwa ndipo yalipoanza kuibuka makundi ya uharifu na wahuni

Pale ilikuwepo michezo ya aina zote unayoifahamu wewe, maktaba na madarasa ya kufundishia fani mbalimbali ikiwemo uchoraji n.k

Vijana na watu wote walikuwa wanakutana pale kushiriki michezo na masomo hivyo hapakuwa na makundi ya kihuni, zilikuwepo timu za mipira na michezo mingine pamoja na wasomi.

Sijaona kikiongelewa humu mkumbuke na mazuri, msikumbushane matukio ya wahuni tu.

Nimejifunza uchoraji pale alikuepo artist mmoja anaitwa jacky vipaji vimeibuliwa sanaa pale kulikuaa na team za mitaa za mpira wa miguu
 
Kuna malegend wa kufundisha mpira wa miguu musoma.
Uwanja wa mara alikuwepo Ize(sijui ndio linaandikwa hvyo.
Uwanja wa musoma primary alikuwa(had sasa hiv) Zamo.
Mshikamano kulikuwa na Mzee Jully alikuwa na matusi na viboko. Upewe pas utulize ovyo utasiki "k#m# la mama ako dogo unazimaje hivyo" hapo fimbo zinakuhusu
 
Sio mwalim Tem kweli?
kuna yule ticha wa mwembeni secondary alikua anaitwa Rama hivi bado yupo.Huyo ticha alikua miyeyusho hatari kipindi cha likizo alikua na twishen pale mwembeni sec nakwambia usipomlipa hela yke anakuvua viatu 😂😂
 
Inaendelea.

Labda kwa kuwakumbusha vijana wa JK pale musoma kulikuwa na meli ya abilia na mizigo Mv. Victoria ilikuwa ikitia nanga adhuhuri ya saa 12 ambapo abilia wake ni wale pangu pakavu wametoka Bongo au Tigite a.k.a Kigoma na wameshuka mwanza na kupakia kwenye meli mpaka musoma, kumbuka enzi hizo ukikata tiketi Dar unaenda Musoma kwa kutumia vyombo vya TRC.

Na nakumbuka kampuni za mabasi kama Nyanja Bus service, Maratco nk yalikuwa yakielekea huko majita, Butata mpaka Bukima.

Upande wa elimu kulikuwa na ushindani mkubwa kuanzia primary to secondary, walimu wengi hawakutaka shule zao zisionekane, waliosoma Kamunyonge miaka ya 1980 enzi za mwalimu mkuu Massanja mnaweza kukumbuka.

Enzi hizo kwa wanafunzi waliosoma shule kama Mara sec, Mkendo sec, Mara Tech nk, mnakumbuka ushindani wa kufa mtu kwa shule hizi kwanza kwenye kufaulisha, pili kwenye kabumbu ambayo ilikuwa ikipigwa hapo kwenye viwanja vya mara secondary, yaani mpira kabla haujaisha wenye roho nyepesi kwa timu yao iliyoshinda wanaondoka mapema.

Viwanja vya kujirusha vilikuwa vichache sana pale Metropole ilikuwa ni kukesha so mchana inapigwa show ya watoto, ukienda Musoma hotel (daa hii hotel inanisikitisha sana) maana hakuna hotel iliyojengwa kwa ustadi wa hali ya juu na muonekano mzuri kama ile lakini imejifia, imekosa mwekezaji mwenye maono mazuri ya kuiendeleza matokea yake imekuwa gofu, 👇

View attachment 1633494

Katika pitapita zangu nchini hii hotel ilikuwa ya kisasa pamoja na kuwa ilijengwa up on a time, ilikuwa ukiwa upande wa ziwani na kuiangalia hiyo hotel ilikuwa nzuri hata kuliko zinazojengwa leo sehemu tofauti.

Hapo Musoma hotel kulikuwa na kiwanja kingine cha disco, linapigwa buzuku la maana ....


itaendelea...
holy holm
Enzi zake paliitwa Mbaoni, Kamunyonge Kabla ya Mwalimu Masanja kulikuwa na Mwalimu Ally Muhaya mmoja hivi kwa sasa Marehemu, nilimkuta Bukoba Mjini hapo National Housing, na Akanikumbuka. Walimu wa zamani sijui walikuwa na kumbukumbu kiasi gani.

Enzi za Custom, nimepanda sana hizo Meli, Kuanzia MV.Butiama, Mv.Serengeti, MV.Bukoba, MV Victoria, na hata MV.Umoja ya Mizigo. Pale Mwanza kulikuwa na Clerius nadhani ilikuwa inavuta yale ma laiter.
Musoma kwetu Mura kumeharibika sana.

Naangalia story za vijana wa 2010 nacheka tu, kweli kila mtu ana zamani yake.
 
Yeah, alichomwa kisu na Majani wa West Lawama.
Hata Majani mwenyewe alishafariki.
West. LAWAMA Ni moja kati ya Gangs Zilizokuwa zinanipa heshima kubwa sana USwazi,hakukua hata na mmoja wa kunigusa sababu wote walikuwa ni watu tuliokuwa tunafahamiana.
Jamaica Mockers 🇯🇲 waliwahi kumTight mshikaji wangu mmoja Elly Mapaka (r.i.p)
Tena Bonny wasena akiwa leader wao.
West lawama kabla hawajakuwa na akina Dick,Magrey nk niliwapiga wa3 majani akiwa km kaka yao,kuanzia hapo wakawa washkaji.
Sema ni Mungu na maisha mabovu yaliyofanya nichomoke huo mji.
 
[emoji1787][emoji1787]hawa jamaa walikua wanafanya dolia ya mabishoo sasa enzi hizo mabishoo walikua wachache walikua wadogo zangu,bishoo lazima ilikua uwe wa kishua
David kisamba,juma kigera,magoma,cabin alikuwepo lusato a.k.a doctor sema walikua wanaazimana nguo sana...kulikua na walw madogo said heris
Davy kisamba,Lusato wote walikuwa washkaji zangu
Lusato classmate wangu K/nyonge Davy homeboy wangu sana sema naskia sa hv ni mtu wa Tungi Magita tena wanaliita Bojo.
Tumeshindana sana kuvaa HandBand(Rebon)
Yote sa hv ni story 😢 😅 😆
 
Back
Top Bottom