Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombee Mungu mama mwenye nyumba asipite humu kuona malalamiko yao. Unaweza shangaa kesho akaamka anatumbuliwa baada ya kusoma comments za hawa vilaza. Kumbuka yaliyo wafika kina Bashiru, Sabaya na wengineo..Vilaza chadema walitaka atumbuliwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkizingua mtakula viboko huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si jana mlikula mapilau hadi mkavimbiwa kwa kumdemkia?Mama ni meko tu.
Kamtoa mwanamke mwenzake mngwira anamuacha ali hapi
So sad kwakweliHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
na uzinzi wa kijingamjiandae kwa pombe mlavi sn huyo
Anna AMESTAAFUMama ni meko tu.
Kamtoa mwanamke mwenzake mngwira anamuacha ali hapi
Binafsi naona CHALAMILA KWA jiji la mwanza ni heavy kwake ,lingine CHALAMILA hana utulivu katika mahamuzi yake, so KWA jiji la mwanza ambalo linatemea uvuvi sijui Kama watawezana nae,Mara kumi angekaa Tabora then wa Tabora akawa mwanzaNdio maisha msiogope haji kuwachapa viboko atamuogopa mama, huyu wa Mwanza sio yule Chalamila wa mwendazake.
Ila kumbuka Samia juzi kawaambia Wazee wa Dar wasishangae akiteua Waziri toka Upinzani! Naona kama Mghirwa alikuwa anaongelewa hapa!Mama ni meko tu.
Kamtoa mwanamke mwenzake mngwira anamuacha ali hapi
Mkuu wangu vipi teuzi imekupita au upo namba ngapi nikupongeze,mie NIPO no 28.5[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si jana mlikula mapilau hadi mkavimbiwa kwa kumdemkia?
Mwanza mtalia na kusaga menoHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Huyu mjinga anaondoka huko mbeya ameacha crisis kubwa sana kwenye sekta ya usafili wa uma. Leo nadhani ni wiki sasa magari ya kubeba abilia yako kwenye mgomo, sipati picha wakazi wa mbeya wanapitia tabu ya namna gani.
ni mtu anayeongea sana lakini hana maamuzi isipokuwa yale yaliyotoka juu yake.