Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Tuendelee kudemkia teuzi kama ilivyokuwa jana kwenye tenguzi mkuuIla mkuu hujajibu swali langu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuendelee kudemkia teuzi kama ilivyokuwa jana kwenye tenguzi mkuuIla mkuu hujajibu swali langu
Alistaafu kwa mujibu wa sheriaIngewezekana wangewaletea yule Sukuma ndani[emoji28][emoji28][emoji28]
Hutaki kunywa pombeHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Mimi pia namkubali jamaa, ni mtu anayependa utani na kucheka muda wote, hachoshi kumsikiliza, sijui jiwe aliwalisha nini hawa wasaidizi wake, ukiacha Mpango, Mwinyi, Samia na Ndalichako, wengine wote walikuwa kama wehu.Chalamila ni kiongozi mzuri sana. Anapenda vichekesho vya hapa na pale lakini siyo katili, siyo dhalimu, siyo muonevu na ni mchapakazi sana. Mii namuona ni RC mzuri sana
Tatizo lake ni nini? Ukisema nakutumia mzigo.Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Hiyo ni lugha soft tu ya kustaafu, hakuna umri wa kustaafu kwenye siasa.mgwira kastaafu kisheria. sio kutolewa. uwe unafuatilia
Ndugu yangu, hakuna chochote special ambacho Mwendazake alifanya kwa watu wa Mwanza. Hapa ilikuwa ni njia tu kupitia akiwa safarini kuelekea Chato.Kutesa kwa zamu,
Enzi za mwendazake mmekula sana Bata wanaMwanza kisa "Mlimpigia kura"
Sent using Jamii Forums mobile app
Makongoro Nyerere na Mghwira wote wamaezaliwa mwaka 1959.Wote wana miaka sawa, 62.mgwira kastaafu kisheria. sio kutolewa. uwe unafuatilia
Chalamila ni kiongozi mzuri sana. Anapenda vichekesho vya hapa na pale lakini siyo katili, siyo dhalimu, siyo muonevu na ni mchapakazi sana. Mii namuona ni RC mzuri sana
Mwanza unaishi sehemu gani? Isije ikawa upo huko Nyangh'omango. Hakuna mtu anayejielewa ambaye anaweza kufurahia kuletewa Chalamila kama RC. Hiii, tumedharauliwa sana watu wa Mwanza! Yaya gete.
Alichapa wanafunzi waliochoma bweni, wee unaonaje sawa, si sawa?Kwani mnaogopa viboko
Muwe mnasoma mnaelewa, unakurupuka kinyumbunyumbu wakati mghwira kastaafu Ana zaidi ya 65.Mama ni meko tu.
Kamtoa mwanamke mwenzake mngwira anamuacha ali hapi
Wee chizi Soma sababu siyo kukurupuka.Inasikitisha unamtoa Mama Ngwila unawaacha akina Chalamila na Ally Happy.
Mwendazake alipora kura kila mahali. Habari ya kusema alipata kura nyingi Mwanza ilikuwa uwongo. Mwaka 2015, hakuna sehemu ambayo kulikuwa na wizi mkubwa na wazi wa kura kama MwanzaWalimpigia kura mwendazake, na alikuwa anawapendelea sana
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.