Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sabayaMjiandae ni fimbo tu😀😀 bye Former RC Mbeya. Hivi Mbeya tumeletewa nani wakuu?
Mbeya watu jeuri,RC Chalamila angeachwa Mbeya awanyooshe vizuri sasa analetwa mtu dhaifu Ili upigaji urudi kule kule.Mjiandae ni fimbo tu[emoji3][emoji3] bye Former RC Mbeya. Hivi Mbeya tumeletewa nani wakuu?
Baba yako aliacha lini uzinzi?na uzinzi wa kijinga
Hakuna kitu huko,awaweze watu jeuri na vibuli wa Mbeya ndio ashindwe kwa nyie washamba wa huko Mwanza? Mnamjua vizuri Chalamila au unamsikia kwa propaganda za aliowashikisha adabu wanalia lia kijinga tuu mitandaoni?Binafsi naona CHALAMILA KWA jiji la mwanza ni heavy kwake ,lingine CHALAMILA hana utulivu katika mahamuzi yake, so KWA jiji la mwanza ambalo linatemea uvuvi sijui Kama watawezana nae,Mara kumi angekaa Tabora then wa Tabora akawa mwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si jana mlikula mapilau hadi mkavimbiwa kwa kumdemkia?
Chuki mbaya sana,Mbeya ya Chalamila imenawiri kuliko wale dhaifu mliokuwa mnawaendesha huku mnapiga pesaJamaa jinga sana
Limeuvuruga mkoa wa mbeya umekuwa hovyo kabisa
[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]Kutesa kwa zamu,
Enzi za mwendazake mmekula sana Bata wanaMwanza kisa "Mlimpigia kura"
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka kwa sautii.unamambo kweli wewe.ngoja tujalibu kumuundia kamati [emoji855][emoji855][emoji855]Mlazeni nje siku mbili ya tatu atarudi alikotoka bila kuaga - kazi hii kwenu mbona ni mdogo saana!!
Wenda ulikua na hoja nzuri , na Wala hapakua na sababu ya kutumia lugha kali ,sijui washamba so what, why kukurupuka hivyo Kama mwizi aliefukuzwa kwenye shamba la mahindiHakuna kitu huko,awaweze watu jeuri na vibuli wa Mbeya ndio ashindwe kwa nyie washamba wa huko Mwanza? Mnamjua vizuri Chalamila au unamsikia kwa propaganda za aliowashikisha adabu wanalia lia kijinga tuu mitandaoni?
Wapumbavu Sana hao wanaopayuka humu ,ujue shida ya hao jamaa kawaminya maana kwenye kutetea haki haangalii umaarufu au jina la mtu.Chalamila ni kiongozi mzuri sana. Anapenda vichekesho vya hapa na pale lakini siyo katili, siyo dhalimu, siyo muonevu na ni mchapakazi sana. Mii namuona ni RC mzuri sana
wewe fainansho kumbe ni wa mbeya!??....hebu niambie haraka una kilo ngapi maana mbeya nayo mbeya..Mjiandae ni fimbo tu😀😀 bye Former RC Mbeya. Hivi Mbeya tumeletewa nani wakuu?
Kwa mara ya kwanza mama ameniboa!Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Kwani yule mama hajapewa mkoa mwingineMama ni meko tu.
Kamtoa mwanamke mwenzake mngwira anamuacha ali hapi
Dawa ya moto ni motoHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.