Amekuja kutuharibia hali ya hewaHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Dr. Mahenge kwa busara zake angekwenda Kilimanjaro ingependeza Sana.
Je Inawezekana yule mama wa Kilimanjaro ameomba mwenyewe kupumzika?
NikweliKuna uwezekano kwavile sidhani kuna kibaya alichofanya huyu mama kwenye ukuu wa Mkoa Kilimanjaro alikuwa fair!
Punguza mawivuHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Yaani nimefurahi sana huyu jamaa kuwepo bado kwenye ramani....Mungu ni mwemaHili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
acha baba angu, mimi mwenyewe ni mzinzi ila sifanyi uzinzi na wanafunzi wa secondary.Baba yako aliacha lini uzinzi?
Aliisha shindwa, tunamsubiri Mwanza atuletee ujinga wange tumunyooshe. yeye ndio ana forment hii migogoro ili apate kiki sasa huu umemshinda
hahahaha 75 hapo je?!..😀😀😀 kadiria mkuu nione kama una shabaha😀
Aiseee umetisha sana mkuu! Kunywa soda nakuja kulipa 😀 aya hizo kg na Mbeya vinahusiana?hahahaha 75 hapo je?!..
em njoo Piem kwanza nikutanie kidogo af tutarudi huku..Aiseee umetisha sana mkuu! Kunywa soda nakuja kulipa 😀 aya hizo kg na Mbeya vinahusiana?
Aah nitanie hapa hapa tu mkuu usijali😀em njoo Piem kwanza nikutanie kidogo af tutarudi huku..
bwanaaa privacy sasa ntashindwa kujiachia....Aah nitanie hapa hapa tu mkuu usijali😀
Jiachie tu mkuu ila ukinizingua na mimi tunazinguana 😀bwanaaa privacy sasa ntashindwa kujiachia....
hahahaah haya ngoja nije na usiponijibu nakuja kukuanzishia uzi..Jiachie tu mkuu ila ukinizingua na mimi tunazinguana 😀
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu
Mkuu wa Mkoa unaweza kuwa na Mawazo haya[emoji116]Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Hapana mimi nmeona nakula mzigo wa mke wangu. Hiyo style yako hapana ....mimi mume wa mtu.😁Tatizo lake ni nini? Ukisema nakutumia mzigo.