Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Katudharau sana huyu mama... Kutuletea hili zee la misifa ni kutukosea heshima kabisa Mhe: Samia tafadhari fikiria upya na Mwanza yetu...
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Atawafaa sana. Mtulie kama mnanyolewa
 
Wapumbavu Sana hao wanaopayuka humu ,ujue shida ya hao jamaa kawaminya maana kwenye kutetea haki haangalii umaarufu au jina la mtu.

Mimi binafsi nimesikitika kumtoa Mbeya kwa sababu kule kuna majizi hatari,mfano mdogo lile soko la mwanjelwa,sido kuna watu walipiga pesa akaanza kuwabana,imagine barabara ambazo zilijengwa chini ya mradi wa TSCP zote zimebomoka na chini ya miaka 6.

Ni awamu yake ndio sijasikia wizi sasa majizi yataanza kupiga pesa upya.Pili Mbeya kuna watu wenye kiburi na jeuri sasa mtu anaewafaa ni Chalamila,Hapi yaani mtu anakunanga bila kujali jina lako.

Akina Makala hao ni wezi na watu wenye njaa Sana
Mkuu embu hamia mwanza umfuate naona una uchungu nae haswa
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Mlisahau hii[emoji116]
"Heshimu watu sponsor hufariki"
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Tusikate tamaa wananzengo.
zHuyu Chalamila anaweza kuukwaa Uwaziri Mkuu!
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Mburula wewe. Hivi unadhani tumefurahi kuibiwa Charamila wetu.
Ila Sema ametifundisha kuwa uongozi pia ni kufurahi
 
Back
Top Bottom