Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Chalamila anaongea sana. Ni chawa mzuri. Ni mkakati amewekwa Mwanza kumtangaza mama. Na atamtangaza kweli. Mwanza ni eneo la kimkakati
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Ndiyo arogwe sasa akizingua,
Kamati ya ufundi si iko jirani tu
pale Gambosi bhazehe.
 
Chalamila anaongea sana. Ni chawa mzuri. Ni mkakati amewekwa Mwanza kumtangaza mama. Na atamtangaza kweli. Mwanza ni eneo la kimkakati
Kwa hii point yako nadhani uko sahihi, jamaa ni chawa flani talented katika fani ya uchawa.
 
Huyu mjinga anaondoka huko mbeya ameacha crisis kubwa sana kwenye sekta ya usafili wa uma. Leo nadhani ni wiki sasa magari ya kubeba abilia yako kwenye mgomo, sipati picha wakazi wa mbeya wanapitia tabu ya namna gani.

ni mtu anayeongea sana lakini hana maamuzi isipokuwa yale yaliyotoka juu yake.
Asante mungu mbeya tumeshinda vita kazi kwenu mwanza na sehemu za usafiri wa umma zilivo ndefu mjiandae kulipa hata 2000 maan kisesa to buhongwa polen sana kwa jaribu hilo linalo kuja huko😔😔
 
Asante mungu mbeya tumeshinda vita kazi kwenu mwanza na sehemu za usafiri wa umma zilivo ndefu mjiandae kulipa hata 2000 maan kisesa to buhongwa polen sana kwa jaribu hilo linalo kuja huko😔😔
Tulisema wakatuita wanafiki.Sasa tumeletewa mdomoni.
Lakini hongera chalii Chalamila!
 
Mara hamsini Agrey Mwanri
Huyu ninamkubali..anauwezo mkubwa..mama mwangalie huyu kiongozi..yupo benchi..ila Ni kiongozi mzuri Sana..hata ukimpa wizara..ni karata nzuri Sana utakuwa umeingiza kiongozi mzuri Sana kwenye serikali yako.
 
Ndio maisha msiogope haji kuwachapa viboko atamuogopa mama, huyu wa Mwanza sio yule Chalamila wa mwendazake.



Haaaaa, Kipindi kile alikuwa akicheza ngoma ya Mwendazake Kipindi hiki atacheza ngoma ya Mama (Sasha). 🤣🤣
 
Mama kafanya reshuffle tu ya hawa wahuni. She is clueless na tusitegemee jipya.

Haya ni madhara ya mtu kudondokewa na uRais ghafla bin vuu
 
Mwanza kupewa Chalamila ni jambo la kushukuru. Chalamila ni kiongoz ambaye unaweza unamfaham vizur endapo utakuwa na Shida lakin si Kwa kumfuatilia mitandaon.

By the way ni kawaida Kwa mtu aliyefanya vizuri Mbeya kupelekwa Mwanza. Iliwahi tokea Kwa Abbas Kandoro pia.
Mkuu you are on record kuwakejeli watu wa Kyela badala ya kuomba misaada na kuwafariji wakati wa mafuriko.
Hatusahau hilo.
 
Back
Top Bottom