Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

Mkuu you are on record kuwakejeli watu wa Kyela badala ya kuomba misaada na kuwafariji wakati wa mafuriko.
Hatusahau hilo.
Wewe kunywa kimpumu hapo mabatini au Nenda ukanywe Ghana kule. Kama uliona alikosea hapo basi kila mwanadam kuna wakat hukosea. Hakuna mkamilifu
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Sio wewe tu kiongozi mimi nimetafakari sana juu ya hii teuzi nikajiuliza ni kama vile huyu mama tulimkosea jambo asee tuombe mungu tu.
 
Sisi wa Mwanza tunatakiwa tujiulize sana. Yaani katika watu zaidibya milioni 60, imeshindikana kumpata mtu mmoja mwenye hekima na akili iliyotulia kuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Au kuna jambo linalomkera Mh. Rais ambalo lina uhusiano ja watu wa Mwanza?

Duh! Chalamila!!! Balaa kubwa.
Huyu mama kwa kweli kwa adhabu ambayo katupatia ya kutuletea huyu mtu huku hakika nimeamini alikuwa na chuki dhidi ya Mwanza.
 
Wenda ulikua na hoja nzuri , na Wala hapakua na sababu ya kutumia lugha kali ,sijui washamba so what, why kukurupuka hivyo Kama mwizi aliefukuzwa kwenye shamba la mahindi
We huyo jamaa umeanza kumjua leo? Huyo huwa anachuki kubwa sana na mkoa wa Mwanza hasa jiji la Mwanza, ata ukianzisha thread ya Mwanza vs tandahimba atakuambia tandahimba ni bora zaidi ya jiji la Mwanza, we mzoee tu huyo mshikaji.
 
Nani alikuambia watu wa mwanza washamba? unaijua Mwanza kweli wewe? inaonekana huijui vizuru ngoja nikupe dondoo chache za mwanza,Hakuna mahali pana upinzani mkali na wa dhati kama mwanza,ukiacha upolaji na siasa kandamizi za mwenda zake mwanza ilikuwa ikiongozwa na wabunge wa upinzani majimbo yote mawawili. wakati wa kampeini mwaka jana LISU alipokelewa kama shujaa hapo mwanza watu hawakulala.
We mzoee huyo fala atakupotezea muda huwa ana chuki na jiji la Mwanza na watu wake.
 
Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.

Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.

Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.

Mbeya hatunaga shida huyu jamaa Yuko peace Tu ila maneno yake yanaweza yakakuletea ukakasi Tu ni mtu poa sana

Mjue Tu huko atawatania balaa mtatukanwa kwelikweli Kwa kuwa ni mtani wenu
 
..kwanini anastaafishwa mwanamke[mghwira] halafu anateuliwa mwanaume[makongoro] mzee asiye na rekodi yoyote? kuna watu wanamhujumu mama samia.

cc Nguruvi3, Chige
Kama ametumia kigezo cha umri basi kitakuwa kiroja cha karne kwa sababu wote wawili, at least according to Wikipedia, wapo 62!!

Labda waseme Mghwira kawa replaced na Queen Cuthbert aliyekuwa mgombea urais kupitia ADC! Binafsi jana nilijiuliza sana kuhusu uteuzi wa Makongoro lakini baadae nikaona naumiza kichwa tu manake CCM wamekubuhu kwa teuzi za aina hii!!
 
Wewe kunywa kimpumu hapo mabatini au Nenda ukanywe Ghana kule. Kama uliona alikosea hapo basi kila mwanadam kuna wakat hukosea. Hakuna mkamilifu
Sawa mkuu!
Tupo hapa tunataghila kimpumu kusheherekea kuwa pasia mpira Mwanza!
😀😀
 
Sisi wa Mwanza tunatakiwa tujiulize sana. Yaani katika watu zaidibya milioni 60, imeshindikana kumpata mtu mmoja mwenye hekima na akili iliyotulia kuwa mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Au kuna jambo linalomkera Mh. Rais ambalo lina uhusiano ja watu wa Mwanza?

Duh! Chalamila!!! Balaa kubwa.
Hata aliyetoka Mwanza sio wa maana sana hajaitendea Mwanza haki(hakuwa mbunifu,hana ushawishi bali ni mtafuta kiki),sasa amepelekwa Mkoa wenye utulivu(SIMIYU).
 
Hata aliyetoka Mwanza sio wa maana sana hajaitendea Mwanza haki(hakuwa mbunifu,hana ushawishi bali ni mtafuta kiki),sasa amepelekwa Mkoa wenye utulivu(SIMIYU).
Upo sahihi. Aliyetoka ni kama hakuwepo.
 
Back
Top Bottom