Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wanauza maziwa
jiji n wilaya gan??Mbona kama huko ni njee ya jiji mkuu?
Unaniuliza tena mimi bro?jiji n wilaya gan??
ona huyu msukuma anaishi kama ng’ombe mifugo ikae vijijin hukoKwani Kuna shido?
ndo nakwambia sasa Mwanza ina wilaya saba wilaya ambayo inahesabika n jiji n nyamagana!Unaniuliza tena mimi bro?
Hao ni wakienyeji siyo wa maziwa wanaenda kuwachungaHalafu wengi wao Wala sio wasukuma ni wajita,wachaga, nk ndo wafugaji ng'ombe wa maziwa hapa mwanza. Wasukuma wengi wao ufugaji wa kuwafatia malisho ng'ombe wao hawajui! Wanapenda kwenda kuwachunga.
maziwa gan wwWanauza maziwa
🤣🤣🤣Bora uishi na mifugo kuliko kuishi na mashoga mtaani.
we naww akili haijakaa sawa mbona maada haihusianiBora uishi na mifugo kuliko kuishi na mashoga mtaani.
acha usenge nimeishi hayo maeneo sijaona hayo mamboMbona oystetbay,kimara tunafuga ngombe za maziwa
hapo n nyamagana wilaya ya mwanzaMbona panaonekana kama shambani?