Watu wa Mwanza, ujasiri wa kuishi na ng'ombe mjini huwa mnautoa wapi?

Mambo mengine kama hayakuhusu waachie wenye mji wao. Wenyewe wanaona kawaida tu.

Binafisi Mimi nikienda family yoyote nisikute paka,mbwa,kuku,Bata ama kamafugo kokote kama njiwa asee huo mji siwezi ishi. Hata nikiishi ni Kwa taabu sana Bado sijawahi nijua ninashida Gani.

Nikikaa zaidi ya mwezi lazima wataniona Nina kuku hata wawili wapo pale nikiondoka nawaachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…