Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndo ukweli tukubali tukatae wengine sisi tunajua kuroga Tu baasi na mambo ya roho mbaya hizo chuki zetu kwao ndo wanapata ari ya kufanya kazAsante kwa kuongea ukweli
Wacha we ss mmekuja kufata nn kimazichana ila tuache hayo maana tunaitaji kura yako 2025 Twende na Mh Seleman Jafo Yombo Lukinga Moja...Nyumba ya mbuzi kilimanjaro Ni nzuri kuliko za kule kwenu kimazichana
Hebu ona mazingira yanavyopendezaView attachment 1260510
Wacha we ss mmekuja kufata nn kimazichana ila tuache hayo maana tunaitaji kura yako 2025 Twende na Mh Seleman Jafo Yombo Lukinga Moja...
Mswati vp.....hudhani kuwa Sele atakuwa mzigo mkubwa kwa serikali ukizingatia ana wake watatu?
..serikali inaweza kulazimika kumpatia nyumba 9 pamoja na ulinzi ktk nyumba hizo.
..kijijini / "chato mpya" atakuwa na nyumba 3. Dodoma nyumba 3 za serikali. Dsm nyumba nyingine 3. Jumla nyumba 9, pamoja na ulinzi.
..na hata kimataifa viongozi wenzake watakuwa wanamuona kituko, sawa na mtu mwenye tamaduni za kale.
..nadhani Prof.Mbarawa ana kolifikeshen zaidi ya Jafo. Prof ana elimu ya mashariki na magharibi na pia ameshika nafasi zilezile alizopata kushika bwana mkubwa. Zaidi Prof ni Mznz atadumisha muungano.
Mswati vp...
Tumekuja kufuata Nini? Si tunawekeza nchi nzima? Huonagi wahindi wamejaa Africa nzima ?Wacha we ss mmekuja kufata nn kimazichana ila tuache hayo maana tunaitaji kura yako 2025 Twende na Mh Seleman Jafo Yombo Lukinga Moja...
Kila Mtu akiwa na Mali kadhulumu/kanyang'anya?Watu wa Pwani ni watu poa sana wasio na makuu na wenye upendo wa kweli kwa watu wote... Ni Pwani pekee ambako watu hawana ukabila bali huunganishwa na dini moja waliyojichagulia na kuiamini ISLAM..
Tanzania ni Taifa lililo na ukabila wa kinafiki uliojificha kwenye mioyo ya watu pasipo kuuonyesha, ipo siku huu ukabila utakuja hadharani na Tanzania itabaki vipande vipande na kuwa nchi zaidi ya tatu tofauti.. Ukabila upo Tanzania lakini hausemwi ni wa ndani sana, Mchaga nduguye ni Mchaga, Msukuma nduguye Msukuma, Mnyaki nduguye ni mnyaki, mmeru nduguye ni mmeru mengine ni unafiki tu tunajifanya kuoleana lakini penye dili mchaga humtonya mchaga, mpare na mpare tuache unafiki..Zipo taasisi kuna makabila yakikaa basi full kuvutana hili liko wazi...
Wema, hofu ya Mungu na mahubiri ya imani waliyoiamini ndio vimewaponza watu wa Pwani. Historia iko wazi watu walikaribishwa Pwani wakapewa maeneo bure, Wazee wa Pwani wakajitolea mali na hali kuikomboa nchi na kuidhamini Tanu huku wengine wakibaki makuwadi wa wakoloni kupitia umissionary (sorry for this lakini ndio ukweli) mpaka leo bado sio watanzania kwa maana ya uhalisia wa Tanzania kwanza..(tuiashie hapa, historia ya TZ imebeba mengi yasiyowazi na ukweli mwingi umefichwa)..
Kuamini kwenye Usawa na maendeleo yenye uwiano na kutoiishi dunia kumewafanya leo hii watu wa Pwani kuonekana wajinga, wavivu, wasioweza kitu.. Ujangili, wizi, kudhulumu, uchawi, unafiki, ufisadi, kutesa masikini, unyang'anyi na kila aina ya umafia eti ndio utafutaji..hahahaha
Sisi tunawekeza nyumban na ugenini,sio kwamba hatuwekezi sehemu nyinginemimi ni raia wa dunia na nyumbani ni Tanzania.., kwetu ni Tanzania nzima
na unless otherwise mahali nilipo ninalazimishwa kuwepo sababu ya shughuli zangu basi pale ndio nyumbani huwezi mtu unaishi sehemu na ndio unapategemea alafu unaona hapafai wakati haujafungwa minyororo kwenda kule unapoona ni pazuri zaidi...
Na point yangu ilikuwa kwamba ni jambo la kushangaza mimi nasema huku ni kwetu napapenda wala siendi na sijawekeza kitu kule, wakati mtu mwingine aliyewekeza kila kitu chake pale ninamuona kwamba sio kwao..., hapo utaona kuna upotofu fulani..., thus dunia inapoendelea kuwa kijiji ni uwezo wako tu ndio utakufanya sehemu iwe kwenu au uwe mpita njia...
Kila Mtu akiwa na Mali kadhulumu/kanyang'anya?
Acheni kucheza ngoma wekezeni kwenye elimu ohooo mtabaki maskini hivyo hivyo ,tumenunua maeneo karibu yote tunazidi kuwasukuma huko kusarawe
Kila Mtu akiwa na Mali kadhulumu/kanyang'anya?
Acheni kucheza ngoma wekezeni kwenye elimu ohooo mtabaki maskini hivyo hivyo ,tumenunua maeneo karibu yote tunazidi kuwasukuma huko kusarawe
Hivi Jafo wenu amefanya nn cha maana kuvuruga uchaguzi?Wachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga[emoji848]!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga[emoji848][emoji848]hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
Usichukulie rahisi hivyo!utajiri wa madini ni wa damu na ndumba.Usishsngae kuona hali hiyo Geita.Uzuri hata wewe unaweza kwenda kujaribu ili uone muziki wake
sehemu moja kuwa na watu wa aina moja na sio wa sehemu nyingine sio advantage ni disadvantage, hata mifugo hybrid ina nguvu kuliko non hybrid...Sisi tunawekeza nyumban na ugenini,sio kwamba hatuwekezi sehemu nyingine
Ulishaenda eneo gani Tanzânia ukamkosa mangi?
Sasa kama ukishindwa kutumia fursa wengine si wanatumia ?Nionyeshe bepari tajiri ambaye hajadhulumu wengine wala kunyang'anya wengine...kudhulumu au kunyan'anya sio lazima iwe hela hata fursa pia..