Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Umeongea kwa uchungu sana .. Shemeji i hope haijui ID yako [emoji4][emoji4]

Inshort bongo hii tulitakiwa tujifunze kwa makabila yaliyofanikiwa na sio kuyachukia. Kama hapo Geita ni kweli, unakuta mtu ana ng'ombe wengi na anatengeneza pesa ndefu ila nyumba ni kituko. Kuna mikoa umeme wa REA umekuta tayari systems zipo maana wazawa waliwekeza wenyewe. Kuna sehemu ukienda private schools hadi vijijini na wanaosomesha ni wakulima ila matokeo ya kitaifa wakifanya vizuri, unaona hate tu kuwa walipendelewa na wakoloni daahh


Hahahaa kuna mikoa km kuna wachungaji wa kuiombea basi huo uloutaja kwakweli uwekwe "Wakfu!yaan wafunge kavu siku60!hela ipo sana ila wenyeji walaaa!anakubali ww usiye mzawa umuajiri shambani kwake umlipe ujira mdogo 😞😞😞!
Akipata jioni Balimiiiiii
 
Kuna makabila kupewa tu uwaziri wa fedha au uwaziri wa mipango kila fedha zinaenda mikoa yao tu wakapewa ukuu Tanesco basi kila umeme kwao tu niradi yote walipeleka kwao maruhuni wakubwa Hadi migombani umeme unawaka

Jafo hongera kwa kujali nchi.Uhuru wa Tanzania ulianzia Pwani.Tanu ilianzia Pwani watu wa Pwani tunajali utaifa zaidi.Hongera Jafo kutuwakilisha vizuri watu wa pwani
We ni MKABILA
na unapaswa KUPUUZWA
 
Umeongea kwa uchungu sana .. Shemeji i hope haijui ID yako [emoji4][emoji4]

Inshort bongo hii tulitakiwa tujifunze kwa makabila yaliyofanikiwa na sio kuyachukia. Kama hapo Geita ni kweli, unakuta mtu ana ng'ombe wengi na anatengeneza pesa ndefu ila nyumba ni kituko. Kuna mikoa umeme wa REA umekuta tayari systems zipo maana wazawa waliwekeza wenyewe. Kuna sehemu ukienda private schools hadi vijijini na wanaosomesha ni wakulima ila matokeo ya kitaifa wakifanya vizuri, unaona hate tu kuwa walipendelewa na wakoloni daahh



Geita imezungukwa na madini lakini ajabu kuna miji haina umeme..umeme umekuja mwaka huu april🤣!acheni wachaga waitwe wachaga !kuna areas zina mijidhahabu lakini huoni hat mjengo wa maana..!lols!aibu hii!
 
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo umepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isinyesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA nk kila kitu walipeleka kwao

Yaani Tanzania tupo miwatu bado inashabikia watu wenye kupenda mediocrity kama Jaffo!

Sijui lini tunaweza vitu vya maana!
 
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo umepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isinyesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA nk kila kitu walipeleka kwao
Unamaanisha kule ng'ambo ya ziwa Victoria ?
Au mie ndiyo sijakuelewa vizuri
 
Tatizo la watu ambao makabila yao yanayochukuliwa poa hutafuta madhaifu ya yale makubwa ili wajihisi fresh, ni kujifariji tu.

Ndugu zangu wa kaskazini mnapigwa vita sana ila mimi nawakubali kwa ile spirit ya kutafuta na kupajali kwenu, endeleeni kuzisaka maana umaskini unadumaza hadi akili.
Hao wamekalia uchawi na ngoma.
 
Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga[emoji848]!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga[emoji848][emoji848]hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
Umeona ee
Yaani mahali palipo na mchaga tu maendeleo hayakosekani, kilimanjaro ni mkoa mdogo lakini ni mkoa wa pili kwa watu wake kuishi maisha Bora baada ya dar(kwa mujibu wa serikali)
Pia ni mkoa wenye sekondar nyingi Tanzania,je tungekuwa mkoa mkubwa kama mwanza/kagera nk si tungekuwa kama ulaya kabisa? GOD BLESS US
 
Yaani Tanzania tupo miwatu bado inashabikia watu wenye kupenda mediocrity kama Jaffo!

Sijui lini tunaweza vitu vya maana!
Ndio Rais wenu 2025 mtake msitake Waukae yupo Juu Yombo Lukinga Oyeeeeeee
 
Geita imezungukwa na madini lakini ajabu kuna miji haina umeme..umeme umekuja mwaka huu april🤣!acheni wachaga waitwe wachaga !kuna areas zina mijidhahabu lakini huoni hat mjengo wa maana..!lols!aibu hii!

Ila watu wa madini huwa wanasumbua.. wangekuwa ni wa kufanya heavy investments huo mji ungebadilika ila ubaya wengi wanaofanya hizo issues haswa wadogo bado elimu ya biashara ni mtihani. Kuhusu maeneo ya madini kutokuwa na maendeleo ni janga la kitaifa
 
Umeongea kwa uchungu sana .. Shemeji i hope haijui ID yako [emoji4][emoji4]

Inshort bongo hii tulitakiwa tujifunze kwa makabila yaliyofanikiwa na sio kuyachukia. Kama hapo Geita ni kweli, unakuta mtu ana ng'ombe wengi na anatengeneza pesa ndefu ila nyumba ni kituko. Kuna mikoa umeme wa REA umekuta tayari systems zipo maana wazawa waliwekeza wenyewe. Kuna sehemu ukienda private schools hadi vijijini na wanaosomesha ni wakulima ila matokeo ya kitaifa wakifanya vizuri, unaona hate tu kuwa walipendelewa na wakoloni daahh
Wacha waendelee kutuonea wivu Sisi tunazidi kupambana tu kujiongezea maendeleo,tunatikisa ndani na nje ya nchi,karibuni German
 
Umeona ee
Yaani mahali palipo na mchaga tu maendeleo hayakosekani, kilimanjaro ni mkoa mdogo lakini ni mkoa wa pili kwa watu wake kuishi maisha Bora baada ya dar(kwa mujibu wa serikali)
Pia ni mkoa wenye sekondar nyingi Tanzania,je tungekuwa mkoa mkubwa kama mwanza/kagera nk si tungekuwa kama ulaya kabisa? GOD BLESS US


Nna shemeji yangu mchaga🤔!kiukweli wachag acha tu .yaan hakai bure bure ..muda wote anachekecha akili .na hapo ana hela had anaumwa!
Mkoa wa Mwanza una baraka na fursa mob lakini duh...anywsy!
 
Hahahaa kuna mikoa km kuna wachungaji wa kuiombea basi huo uloutaja kwakweli uwekwe "Wakfu!yaan wafunge kavu siku60!hela ipo sana ila wenyeji walaaa!anakubali ww usiye mzawa umuajiri shambani kwake umlipe ujira mdogo 😞😞😞!
Akipata jioni Balimiiiiii

Mikoa ya ndugu zetu kabila kubwa ni tatizo kiasi. Ni watu hardworking sana ila naona kama wanatumia nguvu zaidi kuliko maarifa na labda kwa nguvu ya kusoma waliyonayo kwa sasa,pengine itawasaidia plus exposure
 
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo umepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isinyesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA nk kila kitu walipeleka kwao
Hatudanganyiki uchaguzi ni batili tumejitoa. Mmeshinda kwa kishindo 100%
 
Back
Top Bottom