Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Watu wa Pwani tumuunge mkono Waziri Jafo kupelekamaendeleo mikoa yote bila upendeleo wala ukabila

Watu wa Pwani ndio wajengaji wakubwa wa nyumba za kupanga ulishaona mangi kajenga nyumba ya kupangisha watu Pwani au dar es salaam? Yeye kazi yake kujenga mijumba self contained yenye mivyumba kibao ya kukaa yeye na mabanda yake nguruwe tu hata kama Yuko peke yake

Kaangalie watu wa Pwani ndio wenye nyumba nyingi za kupangisha za watu wengi na za Bei nafuu affordable
Basi mtuache na maisha yetu. Ndo maana Sisi wa kaskazini hatunaga na tabia ya kuwa semasema nyie wa pwani manake nyie ndo mnaotuuzia viwanja na mashamba huku mjini na ndo ma baba wenye nyumba tunapanga kwenye nyumba zenu tunaweka na duka faida tunajenga kwetu shida iko wapi ni mgawanyo wa kazi kila mtu anamfaidi mwenzake ila nyie mnalalamika as if mmepunjika kumbe labda huwa hamna mipango endelevu kwa ile hela mnayopata
 
Wachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
Chuki yenu kwa Wachaga haiwezi kumaliza shida zenu wala haiwezi kuwapunguzia wao kile walicho nacho.
 
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo amepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isingesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA,kampuni ya Simu ,Tanesco nk kila kitu walipeleka kwao na kujazana wenyewe
Kwani Jafo anatoa pesa yake au ni pesa zetu walipa kodi? Halafu ninyi Wazaramo hamjakaribisha makabila mengine kujazana Dar bali udhaifu wenu wa kutokupenda kufanya kazi na kukalia kucheza bao ndo kuliwafanya na kutaendelea kuwafanya makabila mengine yaone hiyo ni fursa na wanaitendea haki. Endeleeni kumsifia Mzaramo mmoja huyo aliyetuharibia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,nadhani tangu Tanganyika (Japo wewe unasema toka Tanzania ipate Uhuru, Tanzania haikuwahi kutawaliwa mjomba) ipate Uhuru hakuna Waziri wa TAMISEMI aliyeharibu uchaguzi kama Jafo.
 
Kwani Jafo anatoa pesa yake au ni pesa zetu walipa kodi? Halafu ninyi Wazaramo hamjakaribisha makabila mengine kujazana Dar bali udhaifu wenu wa kutokupenda kufanya kazi na kukalia kucheza bao ndo kuliwafanya na kutaendelea kuwafanya makabila mengine yaone hiyo ni fursa na wanaitendea haki. Endeleeni kumsifia Mzaramo mmoja huyo aliyetuharibia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,nadhani tangu Tanganyika (Japo wewe unasema toka Tanzania ipate Uhuru, Tanzania haikuwahi kutawaliwa mjomba) ipate Uhuru hakuna Waziri wa TAMISEMI aliyeharibu uchaguzi kama Jafo.
Hahaha
 
Basi mtuache na maisha yetu. Ndo maana Sisi wa kaskazini hatunaga na tabia ya kuwa semasema nyie wa pwani manake nyie ndo mnaotuuzia viwanja na mashamba huku mjini na ndo ma baba wenye nyumba tunapanga kwenye nyumba zenu tunaweka na duka faida tunajenga kwetu shida iko wapi ni mgawanyo wa kazi kila mtu anamfaidi mwenzake ila nyie mnalalamika as if mmepunjika kumbe labda huwa hamna mipango endelevu kwa ile hela mnayopata
Hahahaha
 
Mazingira magumu hasa uhaba wa ardhi uliwanya wachaga wajiongeze.
Pwani hapakuwa na mazingira magumu. Ardhi tele bahar, biashara nk. Vyote vilikuwepo. Ni kawaida kwenye miti hakuna wajenzi.
Hii ipo pia Afrika ukilinganisha na Ulaya au hata kusini mwa jangwa la sahara ukilinganisha na kaskazini.
Watu wakitumia elimu kukabiliana na changomoto za maisha wanatoka.
Baadhi ya jamii ni wagumu kubadilika.
Tusiendekeze mawazo ya ukabila maana wale waliondelea ni chachu kwa walioko nyuma. Afrika hata sasa inafaidika kutoka kaskazini.
Bila Shaka unawashwa na WACHAGA na bado
Umaskini sio sifa ni ujinga
 
Wachaga Wana individual spirit .They are individualistic hawajali kuwa Tanzania Ina makabila zaidi ya 120 .Kila post wakipewa hawana broad vision ya nchi wako concentrated kwenye kikabila Chao tu tofauti na watu wa Pwani Kama Jafo ambao Wana vision ya Taifa sio watu wa Pwani tu
Basi ajitahidi maana miaka 4 umeme umefika msanga tu. Vipi Yombo na Chole na Vikumburu
 
Waziri Jafo Ni waziri aliyoitenendea haki wizara ya Serikali ya mitaa kuliko waziri yeyote toka Tanzania ipate Uhuru.

Kama ilivyo watu wa Pwani hatuna ubinafsi tunakaribisha wawekezaji wazawa toka Tanzania nzima,Wawe wachaga,wapemba au makabila yote nchi nzima wote wamejaa Dar es salaam na Pwani .Bomu likipigwa Dar es salaam na Pwani Tanzania nzima itakuwa misiba sababu makabila yote ya Tanzania yako Dar es salaam na Pwani kwa ukarimu wa watu wazawa wa Dar es salaam na Pwani anakotokea Jafo.

Jafo amepeleka Maendeleo mikoa yote halmashauri zote na Manispaa na majiji yote Tanzania nzima bila kujali watu wa Pwani wako hiyo mikoa au la.

Kuna mikabila inajijali yenyewe ingepewa hiyo wizara isingesambaza Maendeleo mikoa mingine ingejaza Maendeleo mikoa yao tu.

Kuna Mikoa ilipewa uwaziri tu wa fedha ,benki kuu na TRA,kampuni ya Simu ,Tanesco nk kila kitu walipeleka kwao na kujazana wenyewe
Jaffo kapeleka maendeleo? He is just a mere herald! In MTU was kupeleka message. Maendeleo hayawezi kuletwa na MTU mmoja
 
Ukanda mbaya sana , usimpende kiongozi kwavile tu ametokea kwenye jimbo lako. Kama hafai tumwambie ukweli . Kiongozi yoyote wa kitaifa wanawawakilisha wananchi wote kwaijumla na sio kutugawa wananchi wao. Tuache kujipendekeza kwa viongozi kumbukeni wengine ni mende shauri yenu ninyi wanaume wa pwani kwa kutaka vya dezo.
 
Mazingira magumu hasa uhaba wa ardhi uliwanya wachaga wajiongeze.
Pwani hapakuwa na mazingira magumu. Ardhi tele bahar, biashara nk. Vyote vilikuwepo. Ni kawaida kwenye miti hakuna wajenzi.
Hii ipo pia Afrika ukilinganisha na Ulaya au hata kusini mwa jangwa la sahara ukilinganisha na kaskazini.
Watu wakitumia elimu kukabiliana na changomoto za maisha wanatoka.
Baadhi ya jamii ni wagumu kubadilika.
Tusiendekeze mawazo ya ukabila maana wale waliondelea ni chachu kwa walioko nyuma. Afrika hata sasa inafaidika kutoka kaskazini.
Yaap,tunazidi kusonga mbele
Kilimanjaro pamoja na kuwa ni ka mkoa kadogo lkn kanaburuza ma mikoa makubwa kimaendeleo
Mfano kwa mujibu wa takwimu za serikali,90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha Bora Ni mkoa wa pili baada ya dar
Pia kwa shule za sekondar na advance,Ni mkoa unaoongoza kwa idadi kubwa ya shule
Karibu kilimanjaro
FB_IMG_15702098938113855.jpeg
 
Wanaotupiga Vita ni hawa maskini wacheza Bao wa pwani hahaha mimi uzuri mmoja ninawabana kila kona wanapoandika ushuzi wao, eti wanajivunia umaskini wao hahaha walikataa kusoma sasahivi wanalia lia hahaha eti wametukaribisha? Tulitumia fursa kutokana na uvivu wao
Angalia hiyo List ya takwimu mikoa tajiri alafu uulize mikoani ya Pwani na Dar es salaam iko nafasi ya ngapi.
 
Umeona ee
Yaani mahali palipo na mchaga tu maendeleo hayakosekani, kilimanjaro ni mkoa mdogo lakini ni mkoa wa pili kwa watu wake kuishi maisha Bora baada ya dar(kwa mujibu wa serikali)
Pia ni mkoa wenye sekondar nyingi Tanzania,je tungekuwa mkoa mkubwa kama mwanza/kagera nk si tungekuwa kama ulaya kabisa? GOD BLESS US
Mwanza ni kubwa? Hujui Mwanza ni mkoa wa pili kwa udogo baada ya Dar?
 
Tutokee hapa, yani vinafasi vya kuagizwa tu apendelee kwao kitu gani! Kuchemka kote uchaguzi wa serikali za mitaaa bado mnasifia! Mitanzania bure kabisa!
 
Katika kitu ambacho huwa najuta maishani sikuolewa na mchaga🤔!yaan tuseme kwel..kuna mikoa inazungukwa na vitu vya thamani lakini jamii inayozunguka sasa unajikuta unajiuliza hv hawa ni misukule?..mtu anamake hela lakini nyumba alojenga ni ya kawaidaaaa alafu yameridhika na biashara zao..wanachukulia easy sana ..nasemaga geita ingekuwa ina wachaga🤔🤔hayo maghorofa had tungejuta!kuna makabila ni kero...hawafai hata kushika nchi!wazitooo!shenji!
Ukirudi Geita kina Ngosha watakunyonga.
 
Back
Top Bottom