Watu wa Pwani walikuwa wanatibu vibamia kwa namna hii

Watu wa Pwani walikuwa wanatibu vibamia kwa namna hii

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kutoka kitabu desturi za wasuaheli (Waswahili)

Iwapo kijana mboo yake ndogo, huzungumza kwa mganga — ya kama: "mimi Uume wangu mdogo, vijana wanawake wananicheka. " mganga hujibu: "nipe mchele wangu, nikufanyie dawa, itakuwa kiasi utakacho."

Wakesha patana, kufuatana kwenda shamba kutafuta miegea, ambao ndiyo kwanza unazaa. Nayo miegea matunda yake marefu, nayo manene, wala hayaliwi. Wakiupata, hukaa chini wote wawili. Yule mganga hushika wembe kumchanja, humwuliza : "unataka ukubwa upi, morta au shubiri?"

Husema: "nataka shubiri." Atamchanja kisha achanje na lile yegea, atatwaa utomvu wa yegea, na damu ya uume achanganye pamoja. Kisha atamwambia: "litezame sana hili yegea, muda wa siku saba uje ulikate hili yegea, sababu usipolikata — uume wako utazidi kuwa mrefu mno." Baada ya siku saba huenda akalikata.
 
Hata dodoki wanachanjia.

Kuna mwamba kibamia chake si akachanjia dodoki wakati lipo dogo,isivyo bahati akasahahu dodoki lipi alichanjia maana madodoki yanaliota mengi. Na Sheria ni kwamba kadili dodoki linavyokua ndivyo mzigo (mb*) inavyokua,ukiona umeridhika ukubwa wa mb* yako unaenda kulichuma dodoki ili lisikue tena.

Guess what happened baada ya kutolitambua dodoki alilochanjia? wanawake wanakimbia,wanasema anawasukuma kizazi wakati wa kwichikwichi.
 
Zamani kulikuwa hakuna ujinga wa kukuza maumbile au dawa za nguvu za kiume.

Madada wa zamani walikuwa hawana mambo ya kuita watu vibamia hivyo kila mwanaume aliridhika na maumbile yake. Na sababu kuu ilikuwa wanajitunza.

Uchi mmoja hauichomekwi na kila mwanaume, sehemu zao za siri zilikuwa za siri kweli sio hawa wa sasa nyuchi zao hazina tofauti na pua au macho kwa jinsi unavyoonekana ovyo.

Ujinga wa vibamia umekuja na hiki kizazi cha laana cha kula nauli.

Kwa mujibu wa sayansi ya maumbile inahitajika takriban inch 2.5 tu kumridhisha mtu.

Sasa hawa kina Queen Spice wa kupiga picha wamebinua makalio wanaanza kuchezewa kabla hata hawajakomaa kiasi akifika umri wa kupevuka uchi wake una umri mkubwa kimatumizi kuliko hata mwili.

Sasa jitu kama hilo unaanzaje kulirdhisha au nini kinamzuia kuona kila maumbile kibamia ikiwa uchi ushaingiwa na maungo ya kila size.
Labda hawa walikuwa na vibamia vya kupitiliza. Hiki kitabu cha mwaka 1904, ni zamani.
 
Hata dodoki wanachanjia.

Kuna mwamba kibamia chake si akachanjia dodoki wakati lipo dogo,isivyo bahati akasahahu dodoki lipi alichanjia maana madodoki yanaliota mengi. Na Sheria ni kwamba kadili dodoki linavyokua ndivyo mzigo (mb*) inavyokua,ukiona umeridhika ukubwa wa mb* yako unaenda kulichuma dodoki ili lisikue tena.

Guess what happened baada ya kutolitambua dodoki alilochanjia? wanawake wanakimbia,wanasema anawasukuma kizazi wakati wa kwichikwichi.
Ilikuwa sehemu gan iyoo
 
Huo ni mti gani ? Kama mtu ana picha aweke

Kitabu ninacho, inaonekana watanzania zamani walikuwa wengi sio wastaarabu,kwa mujibu wa hiko kitabu

EF42FADA-FBE3-4D1E-B85A-11E3BBADE10A.jpeg
 
Hata dodoki wanachanjia.

Kuna mwamba kibamia chake si akachanjia dodoki wakati lipo dogo,isivyo bahati akasahahu dodoki lipi alichanjia maana madodoki yanaliota mengi. Na Sheria ni kwamba kadili dodoki linavyokua ndivyo mzigo (mb*) inavyokua,ukiona umeridhika ukubwa wa mb* yako unaenda kulichuma dodoki ili lisikue tena.

Guess what happened baada ya kutolitambua dodoki alilochanjia? wanawake wanakimbia,wanasema anawasukuma kizazi wakati wa kwichikwichi.
Ilitakiwa ayatungue madodoki yote kweny mti huo amalize kesi
 
Huu uzi unazungumzia vitu gan njooni mnieleweshe😄🙂

Maana kula reply inazungumzia cha kwake

Ila hizi ni uongo na nadharia si kweli dudu linaongezwa na dodoki. Nikiwa nakua nimekulia kinondoni. Kuna walisema mpaka mpapai. Waongo wrong waongo mtaani kulikuw na vijana walijaribi bila bila. This was more than 20 years ago. .
 
Hata dodoki wanachanjia.

Kuna mwamba kibamia chake si akachanjia dodoki wakati lipo dogo,isivyo bahati akasahahu dodoki lipi alichanjia maana madodoki yanaliota mengi. Na Sheria ni kwamba kadili dodoki linavyokua ndivyo mzigo (mb*) inavyokua,ukiona umeridhika ukubwa wa mb* yako unaenda kulichuma dodoki ili lisikue tena.

Guess what happened baada ya kutolitambua dodoki alilochanjia? wanawake wanakimbia,wanasema anawasukuma kizazi wakati wa kwichikwichi.
Kwani kukata kichaka kizima cha dodoki ni bei gani

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Uwongo
Hata dodoki wanachanjia.

Kuna mwamba kibamia chake si akachanjia dodoki wakati lipo dogo,isivyo bahati akasahahu dodoki lipi alichanjia maana madodoki yanaliota mengi. Na Sheria ni kwamba kadili dodoki linavyokua ndivyo mzigo (mb*) inavyokua,ukiona umeridhika ukubwa wa mb* yako unaenda kulichuma dodoki ili lisikue tena.

Guess what happened baada ya kutolitambua dodoki alilochanjia? wanawake wanakimbia,wanasema anawasukuma kizazi wakati wa kwichikwichi.
 
Hata dodoki wanachanjia.

Kuna mwamba kibamia chake si akachanjia dodoki wakati lipo dogo,isivyo bahati akasahahu dodoki lipi alichanjia maana madodoki yanaliota mengi. Na Sheria ni kwamba kadili dodoki linavyokua ndivyo mzigo (mb*) inavyokua,ukiona umeridhika ukubwa wa mb* yako unaenda kulichuma dodoki ili lisikue tena.

Guess what happened baada ya kutolitambua dodoki alilochanjia? wanawake wanakimbia,wanasema anawasukuma kizazi wakati wa kwichikwichi.
Unang'oa madodoki yote
 
Kutoka kitabu desturi za wasuaheli(Waswahili)

Iwapo kijana mboo yake ndogo, huzungumza kwa mganga — ya kama: "mimi Uume wangu mdogo, vijana wanawake wananicheka. " mganga hujibu: "nipe mchele wangu, nikufanyie dawa, itakuwa kiasi utakacho."

Wakesha patana, kufuatana kwenda shamba kutafuta miegea, ambao ndiyo kwanza unazaa. Nayo miegea matunda yake marefu, nayo manene, wala hayaliwi. Wakiupata, hukaa chini wote wawili. Yule mganga hushika wembe kumchanja, humwuliza : "unataka ukubwa upi, morta au shubiri?"

Husema: "nataka shubiri." Atamchanja kisha achanje na lile yegea, atatwaa utomvu wa yegea, na damu ya uume achanganye pamoja. Kisha atamwambia: "litezame sana hili yegea, muda wa siku saba uje ulikate hili yegea, sababu usipolikata — uume wako utazidi kuwa mrefu mno." Baada ya siku saba huenda akalikata.
Aisee
 
Husema: "nataka shubiri." Atamchanja kisha achanje na lile yegea, atatwaa utomvu wa yegea, na damu ya uume achanganye pamoja. Kisha atamwambia: "litezame sana hili yegea, muda wa siku saba uje ulikate hili yegea, sababu usipolikata — uume wako utazidi kuwa mrefu mno." Baada ya siku saba huenda akalikata
Weka picha ya YEGEA fasta tuanze kupiga pesa ndefu
 
Watu weusi wana ujinga wa asili

Wa Asia wanawaza kukuza maarifa, Ujuzi na Ubunifu kila siku sisi tunawaza kukuza dudu
 
Msambwanda na kiba having undugu. Tangu zamani. Watu wa zamani wanapenda kujipakulia minyama sana kwenye stori za enzi zao.
 
Back
Top Bottom